Haya mawe yanatumika kwenye,kutengeneza screen za simu,Ipad,Laptop na LCD TVs,fibre Optic cable,ICs za all electronics equipments duniani,ila yanakuwa na thamani kubwa iwapo yatauzwa kama Unga(baada ya kuyasaga na kupata mesh size zinazotakiwa na buyers) hapo yalipo tani moja aizidi laki3.Nnakushauri anzisha kiwanda uyasage ndo utapata faida Boss wangu ,na kama upo tayari kuyauza kwa bei ya laki 2 tatu kwa tani moja (1000kg),inatakiwa uwe na atlest 20tonnes(one 2Oft Container) ili uweze pata faida kidogo.PM me kama upo serious