Bei ya iphone 4 & 5

Bei ya iphone 4 & 5

Skillseeker

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2012
Posts
225
Reaction score
34
Habari za leo wanaJF,

Ningependa kujua bei ya iphone 4, 4s na 5 kwa tanzania. Nahitaji kujua bei zake zikiwa mpya na used in a good condition.

asanteni
 
Habari za leo wanaJF,

Ningependa kujua bei ya iphone 4, 4s na 5 kwa tanzania. Nahitaji kujua bei zake zikiwa mpya na used in a good condition.

asanteni


  • iphone 4 used 280k na kuendelea
  • iphone 4s 330k na kuendelea
  • iphone 5- 600k na kuendelea

condition ya simu + specifications = Bei
 
iphone 4 used 280 na kuendelea\
iphone 4s 330 na kuendelea
iphone 5 600 na kuendelea

condition ya simu + specifications = Bei

Je hizo bei ni UsS au Tzs? Ikiwa ni Tzs na ni mpya basi ZITAKUWA siyo original
 
Iphone 5 original na mpya haiwezi kuwa laki 6,mfano ukiagiza Moja kwa moja kutoka USA ni Dollar 500 ambayo kwa TZS ni kama laki 8 na ushee hivi.
 
Tatizo lenu mmekariri bei na hizo bei nilizoweka sio za iphone mpya ni used.

Hatujakariri bwana mdogo sisi tunauza hizo simu unazodhani wewe unazijua sana, Pili mleta mada kaulizia bei ya Iphone mpya na Used sasa wewe bei ulizoweka hazieleweki ni za bidhaa ipi used ama mpya? Huwezi kuwa great thinker kwa changio lako hilo lililosababisha watu wengi tugune!!!!!
 
Hatujakariri bwana mdogo sisi tunauza hizo simu unazodhani wewe unazijua sana, Pili mleta mada kaulizia bei ya Iphone mpya na Used sasa wewe bei ulizoweka hazieleweki ni za bidhaa ipi used ama mpya? Huwezi kuwa great thinker kwa changio lako hilo lililosababisha watu wengi tugune!!!!!

Ni kweli inawezekana sijaeleweka nakubaliana na hilo ila ingekuwa vizuri kama ungetumia busara kuwaelewesha wengine ulipoona kuna utata bila kutumia kejeli kama ulivyofanya hamna mahali nimeandika bei za tecno, pili mi si bwana mdogo nakuheshimu ndugu.

Turudi kwenye mada, bei nilizoweka ziko kwenye range i.e (280k> Nakuendelea) inaeleweka nadhani.
 
Ni kweli inawezekana sijaeleweka nakubaliana na hilo ila ingekuwa vizuri kama ungetumia busara kuwaelewesha wengine ulipoona kuna utata bila kutumia kejeli kama ulivyofanya hamna mahali nimeandika bei za tecno, pili mi si bwana mdogo nakuheshimu ndugu.

Turudi kwenye mada, bei nilizoweka ziko kwenye range i.e (280k> Nakuendelea) inaeleweka nadhani.

Kumradhi bwana Mkubwa nadhani sikuwa na lengo la kukukebehi wala nini' ila nimekuelewa mkuu!!!
 
Inaelekea kuna watu wanauziwa iphone kwa bei mbaya humu kwa kuwa hawajui bei ya mpya iphone 4 ni laki nne na nusu na 4s ni laki tano. Bei zilizowekwa na na mdau hapo kwa maana ya used ni sahihi kabisa na mtu mwenye kutambua hiyo biashara angeelewa kuwa hiyo ni used.
 
Inaelekea kuna watu wanauziwa iphone kwa bei mbaya humu kwa kuwa hawajui bei ya mpya iphone 4 ni laki nne na nusu na 4s ni laki tano. Bei zilizowekwa na na mdau hapo kwa maana ya used ni sahihi kabisa na mtu mwenye kutambua hiyo biashara angeelewa kuwa hiyo ni used.

Wapi huko zinauzwa mkuu?
nahitaji iphone 4 nina kilo Mbili na nusu
 
  • iphone 4 used 280k na kuendelea
  • iphone 4s 330k na kuendelea
  • iphone 5- 600k na kuendelea

condition ya simu + specifications = Bei

Hii ndio bei haswa za iphone used, nashangaa watu kuzikejeli ili waonekane wanajua sana. Lakini na bado hawaweki hizo bei mbadala!
 
Back
Top Bottom