Bungukwetu
Member
- Jan 24, 2017
- 34
- 14
Wadau naomba kujuzwa bei ya cement nikiinunua direct kutoka kiwandani.
Au kama kuna mfanyabiashara wa cement naomba aje PM tuongee biashara nahitaji large quantity of cement kila week.
Nashukuru kwa msaada wenu.
Au kama kuna mfanyabiashara wa cement naomba aje PM tuongee biashara nahitaji large quantity of cement kila week.
Nashukuru kwa msaada wenu.