eligi karoli
Member
- Jun 10, 2016
- 57
- 14
Wapendwa nawasalimu nyote
Naomba kwa anayefahamu bei mpya za mashine ya luku ya umeme kulingana na aina zake na viwango vyake ..maana nataka kununua hiyo mita kwa matumiz ya salon yangu peke yangu ......kama upo Mwanza na unayo tafadhali tuwasiliane kwa namba 0762892877..chondechonde isiwe yenye figisu maana usumbufu sitaki
NAOMBA KUWASILISHA
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kwa anayefahamu bei mpya za mashine ya luku ya umeme kulingana na aina zake na viwango vyake ..maana nataka kununua hiyo mita kwa matumiz ya salon yangu peke yangu ......kama upo Mwanza na unayo tafadhali tuwasiliane kwa namba 0762892877..chondechonde isiwe yenye figisu maana usumbufu sitaki
NAOMBA KUWASILISHA
Sent using Jamii Forums mobile app