Bei mpya za mashine ya luku (Mita)

Bei mpya za mashine ya luku (Mita)

eligi karoli

Member
Joined
Jun 10, 2016
Posts
57
Reaction score
14
Wapendwa nawasalimu nyote

Naomba kwa anayefahamu bei mpya za mashine ya luku ya umeme kulingana na aina zake na viwango vyake ..maana nataka kununua hiyo mita kwa matumiz ya salon yangu peke yangu ......kama upo Mwanza na unayo tafadhali tuwasiliane kwa namba 0762892877..chondechonde isiwe yenye figisu maana usumbufu sitaki

NAOMBA KUWASILISHA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapendwa nawasalimu nyote

Naomba kwa anayefahamu bei mpya za mashine ya luku ya umeme kulingana na aina zake na viwango vyake ..maana nataka kununua hiyo mita kwa matumiz ya salon yangu peke yangu ......kama upo Mwanza na unayo tafadhali tuwasiliane kwa namba 0762892877..chondechonde isiwe yenye figisu maana usumbufu sitaki

NAOMBA KUWASILISHA

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi inaruhusiwa kuuziana mita za tanesco??? Sidhani sidhani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
luku huwa haziuzwi kwa watu mfungiane tu ...labda meter ya kawaida utakuta hardware
 
Huo muda unauliza humu ungeutumia kwenda ofisi za Tanesco ingekuwa vyema zaidi.

Sababu hata ukijua bei yake lazima ufike ofisi za Tanesco.
 
Back
Top Bottom