Bei imeshuka mpaka tshs 480,000/=

Bei imeshuka mpaka tshs 480,000/=

geofreyngaga

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
667
Reaction score
974
Set ya Kiti ya 1. 1. 2 pamoja na meza inauzwa bei chee kabisa Kwa tshs 480,000/= maongezi yapo.

Kiti kimetumika Kwa miez 6 kwenye familia ndogo ya baba, mama na Mtoto wa miaka 3 Kwa Hiyo viti pamoja na meza bado vipo safi kabisa.

Nicheki hapa 0652 494919.
 

Attachments

  • IMG-20160113-WA0016.jpg
    IMG-20160113-WA0016.jpg
    87.9 KB · Views: 68
Vimetengenezwa na material gani mheshimiwa ! uimara wake ukoje hiyo kitu
 
Hiv ni jpm plus mwez dumeee. au mimi na bei zangu za ajabu?
Basi nipe bei inayokupendaza nami nikuachie viti
 
Hiv ni jpm plus mwez dumeee. au mimi na bei zangu za ajabu?
Basi nipe bei inayokupendaza nami nikuachie viti


Ni kwa sababu watu wengi hatuna outdoor space ambako viti vya aina hiyo ndio hutumika zaidi. Ila viko poa sana tu mwisho wa siku lazima utauza
 
Hiv ni jpm plus mwez dumeee. au mimi na bei zangu za ajabu?
Basi nipe bei inayokupendaza nami nikuachie viti


Ni kwa sababu watu wengi hatuna outdoor space ambako viti vya aina hiyo ndio hutumika zaidi. Ila viko poa sana tu mwisho wa siku lazima utauza
 
Nimependa, jinsi ulivyobadilisha matumizi ya hako ka ngazi.
 
Back
Top Bottom