Behind the Curtain: Top Dems now believe Biden will exit

What about them? Namjua huyo Tucker Carlson na Eric Trump tu.
 
Unaweza ukatupa uthibitisho kwamba kura zimekuwa zikiibiwa.
 
Angalau Marekani kuna uchaguzi tunapata hata story za kupotezea muda, kwa Putin ni mwendo wa monoparty tu.
 
Unaweza ukatupa uthibitisho kwamba kura zimekuwa zikiibiwa.
Kura zinaibwa kila uchaguzi,George bush ushindi wake wote wa magumashi,Obama watu walitaka kubadili tu taswira ya USA ulinwenguni,wakapiga magumashi ashinde,ukitaka kujua huo uchaguzi magumashi ukiachilia mbali electoral college,Yale mabunge mawili hakuna siku chama kimoja kitatawala yote,to keep the balance
 
Kuliko kamala Harris awe mgombea bora babu Biden agombee huyo mwanamke hana ata robo ya kushindana ubavu na trump
 
Wewe hakuna unachofahamu kabisa kuhusu Marekani ngoja ubaki tu mtu ambaye akitoka kuswali anaenda kupiga bla blaa kwenye vijiwe vya tangawizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…