Endelea kufuatilia mkuu.. Hasa hasa nikiweka sehemu ya pili na ya Tatu.. Kuna mambo yenye utata sana yalifanywa na "US Intelligence Community" kabla na baada ya tukio ambayo yanatia shaka mno..
Shukrani sana mkuu..nataka nione utata wa US ktk sehemu ya jumatatu maana ..binafsi sikuyaamin na siamin mpaka leo juu ya tukio like nahis kama lilipikwa kwa ustad mkubwa sana
Endelea kufuatilia mkuu.. Hasa hasa nikiweka sehemu ya pili na ya Tatu.. Kuna mambo yenye utata sana yalifanywa na "US Intelligence Community" kabla na baada ya tukio ambayo yanatia shaka mno..