Bega langu la kushoto linauma naomba msaada

Bega langu la kushoto linauma naomba msaada

Joined
Dec 18, 2019
Posts
10
Reaction score
5
Habari kama kichwa cha habari kilivyojieleza napata maumivu makali katika maungio ya bega langu la kushoto. Je, kuna mtu anafahsmu kuhusu hili na je kuna mtu anafahamu dawa.

Msaada Please.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha dah kwanza imenibid nicheke kwa bidii kidogo af nikuulize umekwenda hospital,ama duka la dawa barid za binaadam!? Sawa sikatai humu jf tumo wenye taaluma hio lakin wakati ukisubir majibu kutoka kwetu na maumivu unayopata nibora ungefuata Huduma. kwasabab wewe una tusubir jf sie tunakusubir hospito
 
Huna tofauti na waumini wa mwamposa ww
 
Habari kama kichwa cha habari kilivyojieleza napata maumivu makali katika maungio ya bega langu la kushoto. Je, kuna mtu anafahsmu kuhusu hili na je kuna mtu anafahamu dawa.

Msaada Please.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu tuko pamoja maana ata mimi maumivu ni makali sana bega la kushoto. Hospitali wanasema ni misuli tu lakini. Na maumivu yanazidi ikifika jioni. Nitafurahi kusikia jibu la wataharamu wa jf na tiba ikiwezekana.
 
0716838423 TUWASILIANE NDUGU VIZURI

Sent using Jamii Forums mobile app
Hupatikani ndugu mwenyewe nina changamoto hiyo nahisi kama kuvunjika ivi siwezi kunyamyua kitu bega linauma hasa, nilienda MOI Kufanya vipimo wakanipa kile cha kuninginiza mkono ila bado nina maumivu makali mno,
Tuwasiliane ndugu yangu kutafuta ufumbuzi kwa pamoja
 
nenda hosipitali ndugu wakiti mwingine siyo dalili nzuri maumivu bega la kushoto huwa inahusishwa na magonjwa ya moyo
 
Back
Top Bottom