Kama unapenda vya zamani mbona hutumii MS-DOS!
achA MAJIBU YA KIHUNI WEWE! MSHKAJI ANA POIT BANA
Kiranga,
Unajua mara kibao nilipania kudownload UBuntu, halafu katikati nikifuata instructions inanizingua naamua kughairi. Link gani ambayo haina shobo niende ku-download bila chenga.?
Point ndo ipi hapo kwamba tusiwe tester? kwamba upgrading holds nothing in it?
Ubuntu downloads zao ziko hapa
Download | Ubuntu utapata 32 bit desktop
Netbook edition iko Download | Ubuntu
Download *.iso file, burn to CD, from there the installation is a breeze, ukipata issue wana bonge la user community ambayo ina documentation zote za kukusaidia.
Hiyo Ubuntu nimeweka kwene flash bado inazingua tu, haitaki ku-install..Ngoja niachane nayo vya bure aghali.
Ullimwengu tuliopo ni wa sayansi na Teknolojia.Kila kukicha teknolojia mpya ya kufanya mambo, kutengeneza bidhaa inagunduliwa na kuanzishwa.
Uwepo teknolojia na misamiati ukichanganya na ubunifu wa wataalmu wa marketing kwenye makampuni unawaacha watumiaji wakiwa hawana cha kufanya na kujikuta wakihamasika kufuata teknolojia fulani bila kuwa na mwanga ni kitu gani hasa wamenunua.
Nitajikita zaidi kwenye teknolojia za IT
Mfano Microsoft walitoa Desktop OS ya XP. Then wakaja na Vista. Na sasa wako na Window 7.
Katika Matangaoz sasa hivi inakuwa promoted Windows 7. Je mtumiaji ana haja ya kuharakisha kwenda kwenye Window 7? Je Mtumiaji alikuwa ana haja ya kubadilisha kutoka XP kwenda Vista bila kujiridhisha.
Binafsi Nashauri watumiaji wanataka kufanya upgrade ya OS wazingatie haya.
Usifanye upgrade ya kutoka OS kwenda nyingine kabla OS mpya haijamaliza japo hata mwaka Mmoja toka izinduliwe
Binafsi natumia Windows XP hadi sasa hivi . Nakumbuka Vista iliipoingia watu walikimbia kuupgrade. lakini baada ya mwaka hata Microsoft wenyewe walisema Vista ni kituko. Kwa mfano huu unaweza kuona kuwa the more u upgrade ealrie the more unakuwa umeajiriwa na kama tester bila kujua. Kwa hiyo ni muhimu kutoa muda japo wa mwaka kujiridhisha kuwa OS fulani imekuwa stable. Huu ushauri ni kwa wale wanataka kukimbilia kuupgrade kwenye Window 7.
Usifuate Mkumbo wala kusikiliza watu wa Masoko. Kuna neno Linaitwa Technology fever. watu wengi tunapenda kuonekana tuko latest na tunakwenda na wakati. Ni bora ujue kwa nini unatumia Kompyuta yenye window 7 na sio XP au Vista. Style hii ya tecnology fever kwa mtazamo wangu Iphone wanaitumia kuwakamata watu japo iphone ina mapungufu mengi. Mfano kwangu one key feature ya simu ni camera. iphone is weak kwenye hii> je watu wangapi wanatumia hizo application za iphone.
kingine kwenye hii techonology fever watumiaji wengi inabidi wakumbukekwa jinsi Window Vista ilivyokuwa na matatizo hawatakiwi kuwa wepesi wa kuapgrade. Unless kompyuta inakuja iko preinstalled.
Kwa hiyo tuwe tunajiuliza maswali haya na mfano wa majibu nimeyaweka kwenye mababo.
kwa nini nihame kutoka teknolojia hii kwenda ile?( Imepitwa na wakati, haiwi supported na wasambazaji? imenivutia kwa muonekako, its talk of the town)
Kwa nini ninunue Iphone na si Nokia, samsung au motorolla.( Recommedation, Matangazo unayoona yamekuvutia, Mazoea, Specification ilizonazo ndio hasa unataka na unazitumia na haziko kwingine)
kwa hiyo kwenye maamuzi ya kununua vifaa vya tekonoljia tusikubali watu wa masoko watuchagulie bidhaaa kwa kutuyajia streghts za bidhaa hiyo waulize pia weakness ya hiyo bidhaa.
Nawasilisha kwa mjadala.
Kama unapenda vya zamani mbona hutumii MS-DOS!
I actually prefer Ubuntu, it is more efficient and the price can't be beat, it is free.
Hata nikinunua computer yenye Microsoft Windows tayari, na partition na kuweka Ubuntu, nitaweza vyote utakavyofanya kwenye MS Windows na zaidi.Ukija na Microsoft Office nitakuja na OpenOffice itakayoweza kufanya yote ya MS Office na mengine MS Office isiyoweza kufanya, kwa bure.
Windows 7 ni nyanya kichizi, at least according to my exprerience.
Point ndo ipi hapo kwamba tusiwe tester? kwamba upgrading holds nothing in it?
Acha mambo yako wewe. Sasa unataka nani awe tester ya wa technologia mpya inayoingia sasa hivi sokoni? Ni wewe na mimi. Kuna mtu amekuuliza; mbona hutumii MS-DOS mpaka sasa?
Watu wengi wanaotumia office 2003 wanapata shida sana wanaletewa docs zimefanyiwa kazi office 2007. Kuna haja gani ya kukomalia old technology wakati mpya ipo sokoni?!
Kila kizuri na kipya kina ubata na uzuri wake. Hata hivyo ulivyokalia mpaka sasa once upon a time vilikuwa vipya na bado vipo sokoni. Na vitakuwa phased out pia!
Mtazamani Umeanza vyema sana hoja yako lakini Conclusion imekuwa very poor kiasi kwamba sijategemea u had all the time to write and finish like that..Maswali uliyosema tujiulize na ukatoka majibu kwenye mabano....majibu hayo very constructive kihivyo...this mean unaweza kuwa sio experiance user wa Operationg system.
Umeangalia window 7 vyema ndugu?Kitu kidogo tafuta mtu mwenye window seven kaangalia calculator yake na fuction zake.Nenda kwenye stick note...ambayo kwenye window XP ingebidi ununue snagit...wao hiyo future wameweka within window.DVD player....XP na Vista U had to buy lucky ije na power dvd kwa ajiri ya wewe kucheza dvd tofuati...wao wamekuja nayo.Tuje kwenye upgrade ya RAM..Je wajua kuwa unawez akutumia flash yako ya 2GB.Na kuiconvert kuongeza nguvu ya ram yako kama ulinunua ikiwa na 1GB RAM na una flash ya 2GB ukaifanya kuwa na 3GB RAM?Umeona feature ya kuweka quick program zako kwenye task bar hapa chini rather that kwenda kuzitafuta uko kwenye all program?
Sijatumia sana vista kwa ajiri ya mambo yake mengi mengi ambayo hayana tija na errors kibao ndio maana window 7 ime solve almost 80% ya matatizo ya vista..
Kiranga,
Unajua mara kibao nilipania kudownload UBuntu, halafu katikati nikifuata instructions inanizingua naamua kughairi. Link gani ambayo haina shobo niende ku-download bila chenga.?
Huo ni mtazmamo wa kwako! So far I enjoy dirisha la 7! Siwezi kuwa shabishi simply because ni os mpya au ni version mpya! By the way umeshajaribu Office 2010! Simply Magic!!!!!!!!!!!!!Windows Seven this, Windows Seven that, watu wanakutangazia mi fancy feature kibao na vi cosmetic ambavyo hata hutumii.
Kitu muhimu kama responsiveness hawakwambii, kwa uzoefu nilioupata kutoka kwa Windows Seven, it is a worse resource hog than either XP or Vista.
And no matter how fancy an OS is, if it can't respond timely and it hogs resources, it is not that fancy.
Huo ni mtazmamo wa kwako! So far I enjoy dirisha la 7! Siwezi kuwa shabishi simply because ni os mpya au ni version mpya! By the way umeshajaribu Office 2010! Simply Magic!!!!!!!!!!!!!
Huo ni mtazmamo wa kwako! So far I enjoy dirisha la 7! Siwezi kuwa shabishi simply because ni os mpya au ni version mpya! By the way umeshajaribu Office 2010! Simply Magic!!!!!!!!!!!!!