Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Wale wote mlikua mmekusudia kuandamana kupinga mambo mbalimbali yanayofanywa na serikali mkanyimwa kibali na polisi kwa madai kuwa kuna tishio la AL-SHABAB wakati wa kuwakilisha maoni yetu umefika tena wametukaribisha wenyewe na kutuhakikishia hakutakua na AL SHABAB, hivyo nakuomba ewe MTANGANYIKA MZALENDO BEBA BANGO LAKO NJOO UFIKISHE UJUMBE WAKO SERIKALINI NA DUNIA NZIMA. hakuna kulala mpaka kieleweke, hawataweza kutumia nguvu yyt kwani kutakua na viongozi wengi wa kimataifa.