Beach plot for sale Dodoma,

Beach plot for sale Dodoma,

Mkuu pole sana kwanza kwa kuondokewa na wazazi wote wawili, I feel your pain. Lakini sio kiwanja cha urithi kweli hiki mkuu? Na wale wadogo zako je??
 
Kama nataka kununua ntafikia wapi kwa mwenyeji an
Gest house nyingi tuuu !
Usiwe na shaka!
Mie si ndio mwenyeji wako jamani?
Au unataka kunikimbia!?
Hii bei karibu na bure usinikimbie mteja ukauziwa vya marambili!
Nakuuzia na nakuunganisha na mpimaji!
Nina njaa tu ,lakini hizi asset za watoto!
 
I hope so,
Nawaombea sana tena idara husika inabidi wawachunge kwa kila hali
Ingawa wengine hawatanielewa
Mimi nimekuelewa sana!
Kulikuwa na shughuli nyingi za kilimo pembezoni kwa bwawa lakini ndege hawakuondoka!
Kwa sasa kilimo hakuna tena MITA 100 kutoka bwawani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom