M mashukurumageni Member Joined Nov 18, 2016 Posts 19 Reaction score 7 Dec 19, 2016 #1 Habari wana jamii forums, naombeni wenye kujua beach nzuri na ya bei nafuu kwaajili ya watoto anijuze kwani nataka sikuku hii niwapeleke watoto wakaenjoy kidogo, maeneo ya banana nasikia kuna beach inaitwa kwa mzungu naombeni mwenyekuijua
Habari wana jamii forums, naombeni wenye kujua beach nzuri na ya bei nafuu kwaajili ya watoto anijuze kwani nataka sikuku hii niwapeleke watoto wakaenjoy kidogo, maeneo ya banana nasikia kuna beach inaitwa kwa mzungu naombeni mwenyekuijua
Tyta JF-Expert Member Joined May 21, 2011 Posts 12,767 Reaction score 10,536 Dec 19, 2016 #2 kwa mzungu ni beach ama swimming pool?
Nokia83 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 24,643 Reaction score 44,371 Dec 19, 2016 #3 Banana beach itoke wapi?!
Scorpio Me JF-Expert Member Joined Aug 2, 2016 Posts 6,119 Reaction score 7,950 Dec 19, 2016 #4 kuna thread kuhusu hiyo ishu....nyuzi nyingi sana tafuta
Nokia83 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 24,643 Reaction score 44,371 Dec 19, 2016 #5 scorpio me said: kuna thread kuhusu hiyo ishu....nyuzi nyingi sana tafuta Click to expand... Nyumba za wageni je?!
scorpio me said: kuna thread kuhusu hiyo ishu....nyuzi nyingi sana tafuta Click to expand... Nyumba za wageni je?!
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,568 Dec 19, 2016 #6 Ramada?
kijani11 JF-Expert Member Joined Jan 19, 2014 Posts 8,348 Reaction score 9,082 Dec 19, 2016 #7 Beach banana?!! Kwani we uko mkoa gani ?
Scorpio Me JF-Expert Member Joined Aug 2, 2016 Posts 6,119 Reaction score 7,950 Dec 19, 2016 #8 Nokia83 said: Nyumba za wageni je?! Click to expand... haha hizo utakua umeziandika wewe
chief1 JF-Expert Member Joined May 4, 2015 Posts 1,418 Reaction score 1,454 Dec 19, 2016 #9 Scorpio me
snipers Senior Member Joined Feb 29, 2016 Posts 119 Reaction score 179 Dec 19, 2016 #10 mtafute mtu anaitwa bujibuji humu jf huyu jamaa ni mtaalamu sana wa beach
K kasimba123 JF-Expert Member Joined Apr 18, 2010 Posts 1,753 Reaction score 816 Dec 19, 2016 #11 wapeleke darzoo kama ni watoto wataenjoy
M mashukurumageni Member Joined Nov 18, 2016 Posts 19 Reaction score 7 Dec 19, 2016 Thread starter #12 Darzoo iko maeneogani mkuu, me mgeni na mambo haya
M mashukurumageni Member Joined Nov 18, 2016 Posts 19 Reaction score 7 Dec 19, 2016 Thread starter #13 mashukurumageni said: Darzoo iko maeneogani mkuu, me mgeni na mambo hayo, na kiingilio inaweza kuwa bei gani Click to expand...
mashukurumageni said: Darzoo iko maeneogani mkuu, me mgeni na mambo hayo, na kiingilio inaweza kuwa bei gani Click to expand...
Msukuma wa dar JF-Expert Member Joined Jul 14, 2016 Posts 1,160 Reaction score 1,201 Dec 19, 2016 #14 Ivi n beach gan PIA papuchi nje nje niende sikukuu hii
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,869 Reaction score 29,031 Dec 19, 2016 #15 Hiyo Banana ni bwawa sio beach
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,869 Reaction score 29,031 Dec 19, 2016 #16 mashukurumageni said: Darzoo iko maeneogani mkuu, me mgeni na mambo haya Click to expand... Ipo Kigamboni tena huko kuna beach nyingi tu
mashukurumageni said: Darzoo iko maeneogani mkuu, me mgeni na mambo haya Click to expand... Ipo Kigamboni tena huko kuna beach nyingi tu
Nokia83 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 24,643 Reaction score 44,371 Dec 19, 2016 #17 scorpio me said: haha hizo utakua umeziandika wewe Click to expand... Huzijui kbs?!
J jose tajiri JF-Expert Member Joined Dec 22, 2015 Posts 778 Reaction score 181 Dec 19, 2016 #18 Naenda jangwan seabrez
Beira Boy JF-Expert Member Joined Aug 7, 2016 Posts 23,973 Reaction score 42,209 Dec 19, 2016 #19 Nenda nyampnde beach
L Lobaraki JF-Expert Member Joined Dec 3, 2016 Posts 484 Reaction score 513 Dec 19, 2016 #20 Msukuma wa dar said: Ivi n beach gan PIA papuchi nje nje niende sikukuu hii Click to expand... Majibu muhimu.....
Msukuma wa dar said: Ivi n beach gan PIA papuchi nje nje niende sikukuu hii Click to expand... Majibu muhimu.....