babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,122
- 27,226
Ikitumia timu ya wachunguzi wa siri, BBC Africa Eye iliingia kwenye safu ya mitandao haramu, ikishuhudia watoto wakiibiwa kutoka kwa mama wasio na makazi na kuuzwa mitaani kwa kima cha dola za Kimarekani 450.
Mtoto wa kiume anaweza kuuzwa kwa dola 3000 za kimarekani. Lakini biashara hii ya kusikitisha haishii hapo.
Pia umebainika ushahidi wa watoto waliozaliwa wakiuzwa katika kliniki haramu, na watoto waliotelekezwa wakiuzwa na wafanyakazi wa afya katika hospitali ya Mama Lucy Kibaki jijini Nairobi.
Usimamizi wa hospitali haukujibu madai hayo...
A year long investigation by BBC Africa Eye has uncovered damning evidence of a thriving underground network in Kenya that snatches babies from their mothers and sells them for a profit.
The secretive and highly lucrative trade preys on the country’s most vulnerable, stealing children from the streets and even the maternity ward of a major government hospital.
Njeri Mwangi reports from Nairobi.
Mtoto wa kiume anaweza kuuzwa kwa dola 3000 za kimarekani. Lakini biashara hii ya kusikitisha haishii hapo.
Pia umebainika ushahidi wa watoto waliozaliwa wakiuzwa katika kliniki haramu, na watoto waliotelekezwa wakiuzwa na wafanyakazi wa afya katika hospitali ya Mama Lucy Kibaki jijini Nairobi.
Usimamizi wa hospitali haukujibu madai hayo...
A year long investigation by BBC Africa Eye has uncovered damning evidence of a thriving underground network in Kenya that snatches babies from their mothers and sells them for a profit.
The secretive and highly lucrative trade preys on the country’s most vulnerable, stealing children from the streets and even the maternity ward of a major government hospital.
Njeri Mwangi reports from Nairobi.