BBA, Accountancy vs procurement

Kama unampango wa kufanya kaz vikampun vidogo ambavyo wataajir mtu mmoja kufanya kazi nyingi tofaut tofaut nenda BBA bt kwenye organizations kubwa wanapenda experts yan kwenye procurement dptment awepo mtu wa procure, halikadhalika kwenye dptments nyngne lyk finance, mkting, law etc wawepo respective experts, nashaur uchukue specific course moja, especilly procurement, or kama BBA unamajor kwenye field mojawapo, mzumbe wana BBA in PLM n Udom wana B.Com PLM
 
Naomba kuweka wazi kuwa mimi ni mwana taaluma wa Manunuzi (procurement expert). Sikubaliani na 24hrs hata kidogo. Na naomba uache kupotisha watu. 10% ni maneno ambayo yanaongelewa bila kufikiri na mwisho huleta shida kwenye taaluma. Shida hizo ni kama ifuatavyo: kwanza wanajitokeza wanataaluma bandia ambao lengo ni kutafuta 10%. Ukimuuliza kitu gani kimekufanya usome procurement kama ni mkweli, jibu atakalo kupa ni kama maneno yako 24hrs. Ukimuuliza maswali ya kitaaluma ndo utagundua alisoma ili afaulu tu. Kazini nimekutana na watu wana masters, ila mwambie aandae nyaraka za zabuni itachua mwezi na bado hajui kitu. Hiyo ni uvamizi wa taaluma na watu wanaoshawishika na maneno kama yako. Pili kuna watu wa taaluma nyingine maofisini ambao hutaka kulazimisha imani hizo na kuamini kupata hela kupitia manunuzi hivyo kuishia kuwashawishi wahusika wa procurement kuongeza bei au wakikataa kuwalaumu wanakula peke yao. Ifike muda sasa wewe na wengine mtambue kuwa nchi hii inaendeshwa kwa sheria, kanuni, taratibu na kiongozi. Wapi panaruhusu 10%? Procurement ni taaluma kama nyingine hivyo taaluma hiyo ina miiko yake yaani code of ethics. OMG natamani kuongea na kufafanua umma uelewe na wewe ukiwemo pia
 
Sitta Juma, pole sana. BBA iko too general. Hivyo nashauri vyuo vyetu viwe makini. Tunahitaji taaluma za kweli ili tuweze kusonga mbele. Siyo mtu kanusa nusa kidogo halafu halafu apewe dhamana ya taaluma ya watu.
 
hayo mi hayanihusu kula mema ya nchi.....
 
Tatizo la hizi course ni ajira na ushindani! leo ht ukitangaza ajira kwa utani watu utawakimbia,,nashauri tuanze kuangalia na course zingine hili tuwe na balance ya wataalamu.
 
Tatizo la hizi course ni ajira na ushindani! leo ht ukitangaza ajira kwa utani watu utawakimbia,,nashauri tuanze kuangalia na course zingine hili tuwe na balance ya wataalamu.
 
Tatizo la hizi course ni ajira na ushindani! leo ht ukitangaza ajira kwa utani watu utawakimbia,,nashauri tuanze kuangalia na course zingine hili tuwe na balance ya wataalamu.
kujiajiri ni plan b si lazima wote tuajiriwe .....
 

Procuremenna hii mitihani yake

Nahii mitihani ya PSPTB huwa inafanyika Chuoni au kunasehem huwa inatolewa na kama ni sehem vigezo gani huwa wanataka ili uweze Kupata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…