Bayern Munich wamekabwa huko walidhani ni mterenko

Fao La Kujitoa

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
396
966
Akina Lewandowski, Davis, mulkar haya amini. Na wanabahati wangeshapigwa 3. Ni dakika ya 20 yanapelekeshwa Bala na lyon. Na Lyons watashinda hii mechi.

Bwahaha sijui eti chuma cha mjerumani kwikwi๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Huyu jamaa Gnabry ameharibika kabisa yaani ni mwarobaini

Na mdogo ake Alfonso davis
 
Goli mbili zishaingia huko

Tag mods waje wabadirishe heading
Mkuu Lyons watafunga moja kabla half time. Baada ya half time wataongeza linguine. Hii gemu itaenda hadi penati. Ila dakika 15 lyon walikuwa tishio. Wamepoteza nafas 3 za wazi
 
Icho
Screenshot_20200819-224110.jpg
 
Mkuu Lyons watafunga moja kabla half time. Baada ya half time wataongeza linguine. Hii gemu itaenda hadi penati. Ila dakika 15 lyon walikuwa tishio. Wamepoteza nafas 3 za wazi
Halftime ndio hii na hapa tusubirie huruma ya refa ataongeza ngapi

Ila katika hizo dakika za ziada lyon anaweza kuchapika tena maana bayern sikuhizi wanapiga kipigo cha aibu
 
Back
Top Bottom