Chelsea wakichukua UEFA C L nakunywa CYANIDE nife
Huu msiba uko wapi nataka kuuzulia ,kama itakuwa mbali nami nani anakusanya rambirambi
Huyu jamaa amekufa akishangilia timu yake duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chelsea wakichukua UEFA C L nakunywa CYANIDE nife
Me I say 'huureeeeeey' for Buyern Munich, Chelsea mmh mmh mmh.......though hawahitaji hata kunishawishi kwakweli!!
huree bayern
Mtabiri Juha wewe !!!!!!!!!!!!!!
siku ilipowadia ulitakiwa usubiri matokeo
Ati 3-1
Ila sishangahi kna Juha mwezako mwezako aliweka dau kwenye special Olympic ile olympic ya vijana wenye special need(matahira)..sijuhi alikuwa ana guarantee gani
Ingawa kihistoria kwa miaka ya hivi karibuni,hakuna timu iliyoweza kuchukua kombe la klabu bingwa ulaya fainali ikifanyikia nyumbani kwa timu hiyo(uwanja/nchi husika),nawatabiria Bayern Munich kuvunja mwiko huu hasa ukizingatia nina amini watawatoa Real Madrid katika nusu fainali.Endapo Barcelona wataingia fainali basi nao watakuwa wanataka kuvunja mwiko mwingine wa kulitetea kombe hilo,ila naamini Bayern Munich ndio watakaoibuka kidedea..kwangu kikwazo cha Munich kuchukua klabu bingwa ulaya ni Madrid..Naelewa uwezo wa timu nyingine mbili Chelsea na Barca ila nawapa Bayern nafasi zaidi
Mwaka fainali Bingwa
2012 Munich ?
2011 Wembley Barcelona
2010 Madrid Inter Milan
2009 Rome Barcelona
2008 Moscow Man Utd
2007 Athens AC Milan
2006 France Barcelona
2005 Instabul Liverpool
..........................................
..........................................
Hatimaye siku imewadia,nabashiri Bayern Munich 3 Chelsea 1
Niumbuke kwa kutabiri? unafikiri wakati naandika sikujua mpira una matokeo matatu draw,kushinda au kufungwa? ina maana wote waliotabiri na haikuwa sahihi mpaka walio bet wameumbuka? unajua maana ya kutabiri? Jipange wewe
..yako wapi mliyotabiri?
...Usheikh Yahya waachie wenyewe LOL!
BAK huu ni utabiri wa kisoka unao base kwa kuangalia kiwango cha soka au form ya timu husika,usiufananishe na ule wa kutumia nguvu za majini..mara ooh mwezi ujao kiongozi mkubwa anakufa!
BAK huu ni utabiri wa kisoka unao base kwa kuangalia kiwango cha soka au form ya timu husika,usiufananishe na ule wa kutumia nguvu za majini..mara ooh mwezi ujao kiongozi mkubwa anakufa!
ingawa kihistoria kwa miaka ya hivi karibuni,hakuna timu iliyoweza kuchukua kombe la klabu bingwa ulaya fainali ikifanyikia nyumbani kwa timu hiyo(uwanja/nchi husika),nawatabiria bayern munich kuvunja mwiko huu hasa ukizingatia nina amini watawatoa real madrid katika nusu fainali.endapo barcelona wataingia fainali basi nao watakuwa wanataka kuvunja mwiko mwingine wa kulitetea kombe hilo,ila naamini bayern munich ndio watakaoibuka kidedea..kwangu kikwazo cha munich kuchukua klabu bingwa ulaya ni madrid..naelewa uwezo wa timu nyingine mbili chelsea na barca ila nawapa bayern nafasi zaidi
mwaka fainali bingwa
2012 munich ?
2011 wembley barcelona
2010 madrid inter milan
2009 rome barcelona
2008 moscow man utd
2007 athens ac milan
2006 france barcelona
2005 instabul liverpool
..........................................
..........................................
Hatimaye siku imewadia,nabashiri bayern munich 3 chelsea 1