BAVICHA wamjibu Elius Ndabila

BAVICHA wamjibu Elius Ndabila

SAVE

Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
12
Reaction score
3
Ndugu wanabodi.
Juzi kijana huyu mjumbe wa UVCCM TAIFA NA KATIBU WA CCM UDOM, Alitoa kauli ya kumwita Heche ni Mnafki na msaliti alipokuwa akizungumza na Redio Mwangaza fm.

Alisema kitendo cha Heche kushinikiza Kawabwa kujiuzuru na la sivyo kuitisha Maandamano ya wanafunzi waliofeli ni Unafki na Usaliti wa kutumia fikira Ombwe.
Kiongozi mwandamizi wa BAVICHA Aliyekwenye Msafara Mh. Afi amesema Ndabila hakuhitajika kusema Maneno hayo kwani amewadharirisha wana Mbeya na Ileje waliofeli. Amesema Ndabila ameshindwa kuinusuru CCM UDOM Kwa kuwa hana uwezo wa kupambana na sisi Makamanda. Hivyo amwache na harakati zake na kamwe hawatarudi nyuma.
 
Kuna mambo mengine inabidi yapuuzwe. Bwana Ellius ana kazi kwelikweli. Inamaana haelewi kuwa miaka 6 inabidi tubadilishe sifa ya kujiunga na vyuo vikuu, maana ndiyo intake inapaswa kujiunga na vyuo vikuu mbalimbali.
 
kuna majina mengine ndo mara ya kwanza kuyasikia,siasa za siku zimeshamiri hadi vyuoni,..haya ndo nani huyo!!!
 
Yeye mwenyewe ameingia na pts 2 za form six ni haki yake kutetea mfumo uliooza
 
no ccm at udom! Cdm iz the only political part existing.....I WANNA MAKE CLEAR 4 THOSE WHO THINK THAT UDOM is under ccm,....why do you think that Jk made an attempt to burn political activities at universities?
 
ccm ni full mambulula

Hivi wanafunzi wa chuo kikuu wanaweza kweli wakawa hawajui tofauti ya "BAN" na "BURN" Halafu eti tunalalamikia matokeo ya mwaka huu mabovu!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom