Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kesho siku ya Jumanne kuanzia saa6 Mchana ,katika Makao Makuu ya chama,
M/kiti wa BAVICHA Taifa atazungumza na waandishi wa Habari, juu ya Hatma ya Vijana na Serikali ya Magufuli na mambo mengine ya Kitaifa na Kimataifa.
Tunaomba ushirikiano wako katika kulifanikisha hilo.
Edward Simbeye
Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa.
Kesho siku ya Jumanne kuanzia saa6 Mchana ,katika Makao Makuu ya chama,
M/kiti wa BAVICHA Taifa atazungumza na waandishi wa Habari, juu ya Hatma ya Vijana na Serikali ya Magufuli na mambo mengine ya Kitaifa na Kimataifa.
Tunaomba ushirikiano wako katika kulifanikisha hilo.
Edward Simbeye
Katibu Mwenezi BAVICHA Taifa.