Nina laptop aina ya dell620 hivikaribuni ghafla ile icon ya bat ilijionyesha na alama ya x nyekundu. Ukielekeza curser kwenye ile icon kuna pop up msg ikionyesha battery not detected. kwa hali hii ni kwamba umeme ukizima batery haichukui mzigo and I totally loose the unsaved data during power failure. Naomba kusaidiwa je nibadilishe battery au kuna kienyeji kingine kinaweza kufanyika ili niendelee kutumia battery hiyo hiyo.