BATMET COMPANY

bulbulmunar

Member
Joined
Dec 17, 2015
Posts
56
Reaction score
14
Ni kampuni inayojiusisha Na utotoleshaji Wa vifaranga Na kuunza vifaranga aina ya Chotara(Malawi,chroiler,n.k).kampuni hii imesajiliwa kiserikali...inakupa fursa we we Mjasiriamali kuwezakupata vifaranga kwa bei nzuri...Tunapatikana mkoa Wa Mwanza ila biashara hii itamfikia hadi watu Wa mikoani.....Pia tunatoa nafasi kwa vikundi vilivyosajiliwa Na vikundi hivyo viwe Na katiba...kwa maelezo zaidi wasiliana nasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…