Kwenye kongamano na Katiba Chuo Kikuu wiki iliyopita, Ulimwengu alirusha kombora kwamba ma RC na ma DC huwa ni "ma girlfriend zenu" mnaowateua.
Kama jimama limeshaharibu sehemu (Wizarani na Mkoani Arusha) mpaka halitakwi na wananchi mkoa mmoja utampelekaje kumsimika kwa wananchi mkoa mwingine kama ya Ulimwengu sio ya kweli?