Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Kule Arusha mambo yazidi kuwa moto kwa CCM. Jamaa yangu kaniarifu mida hii kwamba kuna baadhi ya meseji (SMS) za uchochezi dhidi ya Wakristu zinatokea hapo -- kwa njama zinazosukwa misikitini kwa ushawishi wa Abdulrahman Kinana na yule mama Burian.
Nawashauri wanaArusha na Watz woote wanaotaka mabadiliko wazibuuze sms hizi zinazolenga kuwagawa wananchi kwa misingi ya kidini.