Batila, Kinana washutumiwa kusambaza sms za kidini

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
234

Kule Arusha mambo yazidi kuwa moto kwa CCM. Jamaa yangu kaniarifu mida hii kwamba kuna baadhi ya meseji (SMS) za uchochezi dhidi ya Wakristu zinatokea hapo -- kwa njama zinazosukwa misikitini kwa ushawishi wa Abdulrahman Kinana na yule mama Burian.

Nawashauri wanaArusha na Watz woote wanaotaka mabadiliko wazibuuze sms hizi zinazolenga kuwagawa wananchi kwa misingi ya kidini.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom