Jamani hawa bodi ya mikopo watuonee huruma sisi watanzania wa kipato cha chini mwaka jana nilikosa mkopo nikajitaidi nikajichanga nikaenda chuo ila maisha ya chuo bila mkopo yalinishinda nikarudi mtaani nikasema ngoja ningoje mwaka huuu niombe upya nika postpone masomo mwaka huu mpaka sasa batch ya tatu imetoka bado sijapata mkopo sijui hii bodi inampango gani na sisi watoto wa maskini