Hii Economic Forum, kitu cha kwanza kitakachochoze ubunifu ni kuweka utaratibu wa kupatent ideas, na uvumbuzi. Watu wakijua kuwa wanaweza kufanikiwa wakigundua vitu na si mtu mwingine kufanikiwa basi watajitahidi kufanya utafiti na majaribio. The first project kwa kina mzee Iddi Simba ni kusukuma sheria ya Patent... kwani Patent ni zaidi ya copyright!!!