Hata mdogo kaandikiwa hivyo na amepangiwa course wanazodai ni kipau mbele lakinj cha ajabu kwa SUA wametoa majina 1024, lakini tumejipiga piga tumrpata ada ya nusu mhula iki afanye usajiri lakini maisha ya chuo yamekuea magumu coz accomodation imekuwa taabu, sasa sijui atapewa mkopo batch ya pil tumuachie Mungu