Tetesi: Basi la Tabora One latekwa kwenye pori kati ya Itigi na Tabora usiku wa jana

Mbaya sana kama ujambazi huo umerejea.Duu Tabora One anapigwa vita sana njia hiyo ya tabora na mmiliki mkongwe wa njia hiyo,pia mmiliki wa tabora one alifariki miezi michache iliyopita basi ni balaa tupu.Waliobaki wasikate tamaa
 
Kuna taarifa kuwa Basi laTabora One lifanyalo safari zake kati ya Dar na Tabora limetekwa Jana usiku na abiria wote kunyang'anywa mali zao na kuna taarifa kuwa huenda wanawake wamefanyiwa vitendo vya ubakaji.
Mabasi yalikatazwa kusafiri usiku
 
Mbaya sana kama ujambazi huo umerejea.Duu Tabora One anapigwa vita sana njia hiyo ya tabora na mmiliki mkongwe wa njia hiyo,pia mmiliki wa tabora one alifariki miezi michache iliyopita basi ni balaa tupu.Waliobaki wasikate tamaa
Wapigane tu, Mungu atawatetea. Kama ni njama za kuwashusha kibiashara Mungu atawainua tu maana yeye ndio mtoa riziki kwa wote.
 
Vipi intelijensia ya polisi alikuweza kuliona na kulizua hii jambo kama habari yenyewe ni sahihi?
 
Mbaya sana kama ujambazi huo umerejea.Duu Tabora One anapigwa vita sana njia hiyo ya tabora na mmiliki mkongwe wa njia hiyo,pia mmiliki wa tabora one alifariki miezi michache iliyopita basi ni balaa tupu.Waliobaki wasikate tamaa
Tabora ndiyo mkongwe si kweli hilo basi ni jipya kwa njia hiyo
 
Back
Top Bottom