BatteryLow
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 446
- 149
Hata mimi nimemshangaa, na sio yeye tu, wengi utaona wanaandika 'picha taf.' wakati picha zipo!Ungesoma mada yote hungeuliza hili swali!
Lingewaka moto tungesema Mungu kakupenda zaidi
LIM Safaris na IBRA Line ndio gari zangu siku hizi...! Hizo Dar Express na K'njaro hola tu saivi..!
Itabidi tuwe tunaijaribu kwanza maana ni hatari, kwa mfano hapo ingekuwa ni moto umewaka ingebidi usubiri moto uzimike, au?Umenikumbusha enzi za scandinavia nilipanda toka dodoma kuja dar, kufika ubungo kushuka lock ya mkanda ikagoma katakata kufunguka walihangaika na kuhangaika haikuwezekana kubanduka kitini, wakaniomba radhi kuwa wangependa kuvunja kile kibanio lakini sheria za kampuni ni mpaka idhini ya marekebisho itoke ofisini kwao, hivyo ikanibidi kwenda nimebanwa hivyohivyo mpaka Kamata zilikokuwa ofisi zao ndiko ikatolewa idhini ya kuukata na wembe
Nilichojifunza ni kuwa baadhi ya mabasi yanakuwa na mikanda iliyo chini a viwango kiasi cha kuhatarisha usalama wa abiria na hasa inapotokea ajali ya bus kuanguka kugongana au kuwaka moto, ukaguzi ukifanywa usilenge tu uona uwepo wa mikanda bali ulenge kuona kama inafanya kazi barabara
Nilipanda LIM siku moja nilijuta.........viti ka basi la chekechea.........halafu dereva alikuwa kama ana maruhani........maana hizo mbio......
hivi RATCO hawapo route hiyo..............?........niliwapenda sana..........
Ujifunze kutembea na visu vya mfukoni, ikitokea kama hiyo wala humwambii muhudumu unajihudumia mwenyewe kisha una sepa
Nilipanda LIM siku moja nilijuta.........viti ka basi la chekechea.........halafu dereva alikuwa kama ana maruhani........maana hizo mbio......
hivi RATCO hawapo route hiyo..............?........niliwapenda sana..........
Kwa nini hukuwaambia trafic wakati wanakagua ndani? Usalama ni jukumu letu sote sio trafic tu
Mkuu umeongea jambo la maana sana hawa jamaa hawana busness codinetors ambao kazi yao kubwa huwa n kuangalia soko la usafir na mahitaji ya wa teja wao. Mfn mdogo green * mombasa raha hata mhamedi. Wametoka barabaran na wengine wapo kwa kusuasua kwa sabab hyo ,Hii biashara ya mabasi ya mikoani nadhani huwa haina faida in the long run. Maana nimeshaona makampuni mengi sana huwa yanaanza kwa mbwembwe lakini baada ya miaka michache yanaanza kusua sua na mwisho kufa kabisa.
Mkuu umeongea jambo la maana sana hawa jamaa hawana busness codinetors ambao kazi yao kubwa huwa n kuangalia soko la usafir na mahitaji ya wa teja wao. Mfn mdogo green * mombasa raha hata mhamedi. Wametoka barabaran na wengine wapo kwa kusuasua kwa sabab hyo ,Hii biashara ya mabasi ya mikoani nadhani huwa haina faida in the long run. Maana nimeshaona makampuni mengi sana huwa yanaanza kwa mbwembwe lakini baada ya miaka michache yanaanza kusua sua na mwisho kufa kabisa.
RATCO ni Tanga-Dar. Sidhani kama wana routes za Dar -AR.
Karibu IBRA line mrembo. Ni very comfortable. Au weye siku hizi Ni mwendobwa FJ??
Hivi shabiby na Bm hawana route za dar Arusha?maana naona ndio watakua wakombozi wapya
Nani kakuambia kuwa kisu cha mfukoni ni silaha?ikitokea la kutokea tofaufi na ajali na akakutwa nacho ataonekana alikuwa na nia ovu.. kisu/silaha kwenye bus.. inawezuleta tafrani..
Nani kakuambia kuwa kisu cha mfukoni ni silaha?
mabasi ya bilionea..sawaya!Wiki iliyopita nilisafiri na basi la Kilimanjaro express kutoka Dar kwenda Moshi. Mkanda wa siti niliyokaa pamoja na jirani yangu ilikuwa mibovu. Mikanda ipo lakini haiwezi kufunga kwa kutumia lock. Ilibidi nifunge kinyeji kama nafunga kamba. Nikahisi labda ni bahati mbaya watarekebisha. Jana nikawa narudi Dar kutoka Moshi kwa Kilimanjaro Express basi no. T 830 AXR. Basi zima siti hazikuwa na mikanda. Cha ajabu ni kwamba askari wa usalama barabarani walikuwa wanalikagua njiani, hakuna hata mmoja aliyehoji upungufu huo. Tena kuna askari mmoja alipanda Chalinze akashuka Kibaha, hakuhoji juu ya viti kukosa mikanda ya usalama. Tafadhali wahusika wote wa jambo hili, kuanzia wamiliki wa hii kampuni na askari wa usalama barabarani, timizeni wajibu wenu ili kurekebisha kasoro hii.
kwanza chakula gari inasimama highway ubora wa chakula sio kama ule wa hill crest pale kwa urio...kitu kidia moja!Wiki iliyopita nilisafiri na basi la Kilimanjaro express kutoka Dar kwenda Moshi. Mkanda wa siti niliyokaa pamoja na jirani yangu ilikuwa mibovu. Mikanda ipo lakini haiwezi kufunga kwa kutumia lock. Ilibidi nifunge kinyeji kama nafunga kamba. Nikahisi labda ni bahati mbaya watarekebisha. Jana nikawa narudi Dar kutoka Moshi kwa Kilimanjaro Express basi no. T 830 AXR. Basi zima siti hazikuwa na mikanda. Cha ajabu ni kwamba askari wa usalama barabarani walikuwa wanalikagua njiani, hakuna hata mmoja aliyehoji upungufu huo. Tena kuna askari mmoja alipanda Chalinze akashuka Kibaha, hakuhoji juu ya viti kukosa mikanda ya usalama. Tafadhali wahusika wote wa jambo hili, kuanzia wamiliki wa hii kampuni na askari wa usalama barabarani, timizeni wajibu wenu ili kurekebisha kasoro hii.
Wiki iliyopita nilisafiri na basi la Kilimanjaro express kutoka Dar kwenda Moshi. Mkanda wa siti niliyokaa pamoja na jirani yangu ilikuwa mibovu. Mikanda ipo lakini haiwezi kufunga kwa kutumia lock. Ilibidi nifunge kinyeji kama nafunga kamba. Nikahisi labda ni bahati mbaya watarekebisha. Jana nikawa narudi Dar kutoka Moshi kwa Kilimanjaro Express basi no. T 830 AXR. Basi zima siti hazikuwa na mikanda. Cha ajabu ni kwamba askari wa usalama barabarani walikuwa wanalikagua njiani, hakuna hata mmoja aliyehoji upungufu huo. Tena kuna askari mmoja alipanda Chalinze akashuka Kibaha, hakuhoji juu ya viti kukosa mikanda ya usalama. Tafadhali wahusika wote wa jambo hili, kuanzia wamiliki wa hii kampuni na askari wa usalama barabarani, timizeni wajibu wenu ili kurekebisha kasoro hii.