Basi la Kampuni ya Selous Express (Superfeo Express) lapata ajali maeneo Madaba

Basi la Kampuni ya Selous Express (Superfeo Express) lapata ajali maeneo Madaba

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,276
Basi la abiria linalomilikiwa na Kampuni ya Selous Express (Superfeo Express) limepta ajali mapema leo Oktoba 19, 2019 majira ya asubuhi.

Basi hilo lililokuwa safarini kutokea mjini Songea kuelekea jijini Dar es salaam limepata ajali hiyo maeneo ya Madaba.

Hakuna madhara kwa abiria waliokuwa wakisafiri na basi hilo huku chanzo cha ajali hiyo kikiwa bado hakijafahamika mara moja..!
IMG_20191019_105420.jpeg
IMG_20191019_105435.jpeg
IMG_20191019_105429.jpeg
 
Pole yao afu hii njia Songea-Njombe naiogopa sana bora upite Tunduru,.halafu hivi sasa kuna kampuni mpya Tevavil angalau ataleta ushindani kwa hao jamaa kwa njia ya Tunduru
Hiyo njia ni shida na ni mojawapo ya barabara tata nchini (milima na mabonde).Tatizo LA madereva wa Superfeo,Selous,New Force,Kisumapai n.k huwa wanajifanya hiyo njia wameizoea sana.

Ni njia tata na hatarishi kweli.Huwa wanashuka kama vile hawana akili.Ukiwaambia eti wao wana uzoefu na njia hiyo.

Hata kama ni utelezi,miaka yote haupo?

Hapo ni mwendo na ujuaji mwingi.

Mgimwa (dereva)wa New Force ukimwambia speed ati anadai ana uzoefu wa miaka 17 na basi.

Omari Msigwa na wenzako wamiliki wa Superfeo na Selous muwe mnafuatilia madereva wenu (baadhi) ambao ni wapuuzi.

"Chris" Meneja wako YEYE kukalisha makalio tu Ofisini kutwa kucheka na hao wadada/wamama wakata tiketi sura kama pimbi utadhani wao pia ni wamiliki wa hayo mabasi.

Hiyo njia kutoka Njombe hadi Songea,ni pori hakuna trafiki.HIVYO wanajiachia tu watakavyo.

MY TAKE:
Nimezungumzia Superfeo ingawa ajali ni basi kampuni ya Selous.Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kampuni ya Superfeo na Selous.Ukitaka kujua uzi umewahi kuletwa humu,fukunyua.

Serikali imulike mabasi yote ya abiria yanayoenda Songea-Dar-Mtwara-Mbeya n.k ili kudhibiti ajali.Kuna baadhi ya madereva hawazingatii Sheria.

Tuombe Mungu tu,dereva angemesapu kidogo ingekuwa janga muda huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa superfeo washenzi sana niliwahi kupanda gari yao kuja Dar miaka kama mi4 au mi3 iliyopita tukafika maeneo kama unatoka Iringa stand.

Basi lao likashindwa kupata kiji- mlima(muinuko) kidogo sana ikabidi walete basi jingine lenye route ya Iringa mbeya tupewe tuendelee na safari.

Nikajiuliza tungefika maeneo ya sekenke saivi tungekuwa tunapokea wishes za R. I. P
 
Hiyo njia ni shida na ni mojawapo ya barabara tata nchini (milima na mabonde).Tatizo LA madereva wa Superfeo,Selous,New Force,Kisumapai n.k huwa wanajifanya hiyo njia wameizoea sana.

Ni njia tata na hatarishi kweli.Huwa wanashuka kama vile hawana akili.Ukiwaambia eti wao wana uzoefu na njia hiyo.

Hata kama ni utelezi,miaka yote haupo?

Hapo ni mwendo na ujuaji mwingi.

Mgimwa (dereva)wa New Force ukimwambia speed ati anadai ana uzoefu wa miaka 17 na basi.

Omari Msigwa na wenzako wamiliki wa Superfeo na Selous muwe mnafuatilia madereva wenu (baadhi) ambao ni wapuuzi.

"Chris" Meneja wako YEYE kukalisha makalio tu Ofisini kutwa kucheka na hao wadada/wamama wakata tiketi sura kama pimbi utadhani wao pia ni wamiliki wa hayo mabasi.

Hiyo njia kutoka Njombe hadi Songea,ni pori hakuna trafiki.HIVYO wanajiachia tu watakavyo.

MY TAKE:
Nimezungumzia Superfeo ingawa ajali ni basi kampuni ya Selous.Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kampuni ya Superfeo na Selous.Ukitaka kujua uzi umewahi kuletwa humu,fukunyua.

Serikali imulike mabasi yote ya abiria yanayoenda Songea-Dar-Mtwara-Mbeya n.k ili kudhibiti ajali.Kuna baadhi ya madereva hawazingatii Sheria.

Tuombe Mungu tu,dereva angemesapu kidogo ingekuwa janga muda huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Super feo na Selous ni kitu kile kile sawa na New force na Golden Deer
Hiyo njia ni shida na ni mojawapo ya barabara tata nchini (milima na mabonde).Tatizo LA madereva wa Superfeo,Selous,New Force,Kisumapai n.k huwa wanajifanya hiyo njia wameizoea sana.

Ni njia tata na hatarishi kweli.Huwa wanashuka kama vile hawana akili.Ukiwaambia eti wao wana uzoefu na njia hiyo.

Hata kama ni utelezi,miaka yote haupo?

Hapo ni mwendo na ujuaji mwingi.

Mgimwa (dereva)wa New Force ukimwambia speed ati anadai ana uzoefu wa miaka 17 na basi.

Omari Msigwa na wenzako wamiliki wa Superfeo na Selous muwe mnafuatilia madereva wenu (baadhi) ambao ni wapuuzi.

"Chris" Meneja wako YEYE kukalisha makalio tu Ofisini kutwa kucheka na hao wadada/wamama wakata tiketi sura kama pimbi utadhani wao pia ni wamiliki wa hayo mabasi.

Hiyo njia kutoka Njombe hadi Songea,ni pori hakuna trafiki.HIVYO wanajiachia tu watakavyo.

MY TAKE:
Nimezungumzia Superfeo ingawa ajali ni basi kampuni ya Selous.Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kampuni ya Superfeo na Selous.Ukitaka kujua uzi umewahi kuletwa humu,fukunyua.

Serikali imulike mabasi yote ya abiria yanayoenda Songea-Dar-Mtwara-Mbeya n.k ili kudhibiti ajali.Kuna baadhi ya madereva hawazingatii Sheria.

Tuombe Mungu tu,dereva angemesapu kidogo ingekuwa janga muda huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo njia ni shida na ni mojawapo ya barabara tata nchini (milima na mabonde).Tatizo LA madereva wa Superfeo,Selous,New Force,Kisumapai n.k huwa wanajifanya hiyo njia wameizoea sana.

Ni njia tata na hatarishi kweli.Huwa wanashuka kama vile hawana akili.Ukiwaambia eti wao wana uzoefu na njia hiyo.

Hata kama ni utelezi,miaka yote haupo?

Hapo ni mwendo na ujuaji mwingi.

Mgimwa (dereva)wa New Force ukimwambia speed ati anadai ana uzoefu wa miaka 17 na basi.

Omari Msigwa na wenzako wamiliki wa Superfeo na Selous muwe mnafuatilia madereva wenu (baadhi) ambao ni wapuuzi.

"Chris" Meneja wako YEYE kukalisha makalio tu Ofisini kutwa kucheka na hao wadada/wamama wakata tiketi sura kama pimbi utadhani wao pia ni wamiliki wa hayo mabasi.

Hiyo njia kutoka Njombe hadi Songea,ni pori hakuna trafiki.HIVYO wanajiachia tu watakavyo.

MY TAKE:
Nimezungumzia Superfeo ingawa ajali ni basi kampuni ya Selous.Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kampuni ya Superfeo na Selous.Ukitaka kujua uzi umewahi kuletwa humu,fukunyua.

Serikali imulike mabasi yote ya abiria yanayoenda Songea-Dar-Mtwara-Mbeya n.k ili kudhibiti ajali.Kuna baadhi ya madereva hawazingatii Sheria.

Tuombe Mungu tu,dereva angemesapu kidogo ingekuwa janga muda huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaa,VIP Yale mabasi 11 yaloingia mwez huu yashaanza routes?
 
Omary yuko pouwa sana sema huyo chris naona anajisahau sana ...ila hongera sana superfeo mmeanza mbali sana toka zile gar ndogo mpaka mabasi
Hahahahaha, nakupa namba ya Chris au Omary Msigwa atakujuza.Sipo kwa miezi 3 hivi.
 
Back
Top Bottom