Basi la kampuni ya Lwinzo limegongana na Lori

Basi la kampuni ya Lwinzo limegongana na Lori

Huu mwezi nao umeanza na ajali kama ule uliopita
 
Tatizo ni rushwa. Mfumo uliokithiri kwa rushwa unajionyesha katika sector na fani mbalimbali. Sio usafiri tu. Embu angalia sekta ya afya. Angalia jinsi askari wanapokonywa silaha na kuuwawa. Angalia jinsi wagonjwa wanakufa kwa kukosa dawa nk. Rushwa ikipunguzwa mambo yataenda vizuri. Unafikiria china ni wajinga kunyonga wala rushwa?
 
Aisee una mtandao mkali wa kupata updates za ajali zinazotokea! Vipi ajali ya jana ya mtu kugongwa na treni ya Mwakyembe pale yombo station ya TAZARA haijakufikia?

Treni haimgongi mtu bali mtu ndio hugonga treni Mkuu.
Hvyo ndivyo ilivyo.
 
attachment.php




Ajali tena, jamani

Mwezi wa tatu lilipata ajali na mwezi huu tena.
 
Kwanza angalau dreva wa gari/bus la Abiria anatakiwa awe na physics ya form six, ili ajue angular velocity, vinginevyo ajali hazitaisha!
 
Kuna madereva huwa wana tabia ya kumkomoa tajiri na kusababisha ajali za makusudi

Duh hao jamaa wana akili ndogo sana.Sasa hawahofii kufa maana kama hapo jamaa ni uso kwa uso na IVECO STRALIS ina maana hawaogopi ku-uface mziki wa semi-trailer.
 
Duh hao jamaa wana akili ndogo sana.Sasa hawahofii kufa maana kama hapo jamaa ni uso kwa uso na IVECO STRALIS ina maana hawaogopi ku-uface mziki wa semi-trailer.
Kama ulivyosema mwezi uliopita walipata ajali na mwezi huu ajali nyingine tena, sina uhakika sana kwa ajali hii ila nimetolea mfano sababu madereva wanayo sana tabia hiyo kuna siku niliwahi kuwasikia wakiwa wenyewe kwa wenyewe(madereva) wanapanga mipango ya kuangusha magari ya tajiri yao sababu huwa anawapeleka safari za mbali lakini linapokuja suala la malipo anakuwa mgumu sana.

Kwahiyo kaa ukijua kuna baadhi ya madereva ajali huwa wanazipanga wala si wa kuwachukulia mwamana sana
 
Kama ulivyosema mwezi uliopita walipata ajali na mwezi huu ajali nyingine tena, sina uhakika sana kwa ajali hii ila nimetolea mfano sababu madereva wanayo sana tabia hiyo kuna siku niliwahi kuwasikia wakiwa wenyewe kwa wenyewe(madereva) wanapanga mipango ya kuangusha magari ya tajiri yao sababu huwa anawapeleka safari za mbali lakini linapokuja suala la malipo anakuwa mgumu sana.

Kwahiyo kaa ukijua kuna baadhi ya madereva ajali huwa wanazipanga wala si wa kuwachukulia mwamana sana

Dah basi ni hatari sana.
 
Back
Top Bottom