Mi nasema hawa Madereva Warudi tuu shule jamani hakuna fani isiokuwa na shule,jamani dereva wa ndege pilot anaenda shule,dereva wa treni ameenda shule,dereva wa mitambo viwandani ameenda shule kwanini hawa wenye magari wanakataa shule?watatuua mpaka Lini?ajali nyingi zinazababishwa na uelewa na Sheria na umakini barabarani!mwendokasi,overtake,nk itafutwe tuu Namna Kuwa watasomaje na malipo watasaidiwaje,wengi tunawaona wamechoka tuu sana uderevaimekuwa ni fani ya walioshindwa maisha jamani,nawaheshimu sana Madereva bt ukweli lazima tuuseme,wapo wazuri sikatai but wachache mkuu hatukatai kusom. kama dereva alishasoma. wao wanadai hawatambui vyeti walivyotupatia baada ya kusoma. na kiukweli tunabeba lawama lakini wamiliki wa mabasi wanamakafara yao na yanahitaji damu. nchii hata usome vp alari hazitaisha