Basi la Hood lapinduka.

Basi la Hood lapinduka.

chenjichenji

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
1,773
Reaction score
3,537
Habari nilizozipata punde,ni kwamba basi la kampuni ya HOOD lililokua linatokea Moro kuelekea Arusha limepinduka asubuhi hii eneo la kati ya Lugoba na Msata mkoani Pwani.
Jamaa nilieongea naye ambaye yupo eneo la tukio,anasema mpaka sasa hakuna mtu ambaye amethibitika kupoteza maisha ila baadhi wamejeruhiwa.
 
lingine limegongana na gari ya IT huko mbeya
 
Poleni sana majeruhi. Hivi ni hood mbili tofauti zilizopata ajali au ndo hii moja?
 
Habari nilizozipata punde,ni kwamba basi la kampuni ya HOOD lililokua linatokea Moro kuelekea Arusha limepinduka asubuhi hii eneo la kati ya Lugoba na Msata mkoani Pwani.
Jamaa nilieongea naye ambaye yupo eneo la tukio,anasema mpaka sasa hakuna mtu ambaye amethibitika kupoteza maisha ila baadhi wamejeruhiwa.

weka maelezo full, namba za gari n.k
 
Mwenyenzi MUNGU mwingi wa Rehema na awape kupona mapema majeruhi wote!
 
Habari nilizozipata punde,ni kwamba basi la kampuni ya HOOD lililokua linatokea Moro kuelekea Arusha limepinduka asubuhi hii eneo la kati ya Lugoba na Msata mkoani Pwani.
Jamaa nilieongea naye ambaye yupo eneo la tukio,anasema mpaka sasa hakuna mtu ambaye amethibitika kupoteza maisha ila baadhi wamejeruhiwa.
duuh!!! kwa sisi wenye ndugu waliopo arusha na dar na wajasirimali, roho juu mungu isije ikawa kweli !!!!!!
 
Hata Hood nasikia naye ni mwanasiasa, ila sijajua uhusiano wa hii ajali na kujipanga kisiasa.

Hood hapana mkuu kwanza amesha zeeka muda wote wote atapumnzika
 
Back
Top Bottom