Basi la Dar Express kutoka Arusha kwenda Dar linateketea kwa moto eneo la Segera chanzo Tone Radio-Tz hakuna abiria aliyepoteza maisha zaidi ya mizigo yote kuteketea kwa moto
Hata Scandnavia nao walianza hivi hivi!!! Hii kampuni inakufa sasa! Ina magari machovu kupindukia. Siku moja nimepanda arusha-dar. Basi lilitoka karatu likiwa bovu kweli kweli!