Basi la Dar Express lapata ajali Wami

Huu ni wakati wa Serikali kuhakikisha Gari zote za Abiria na Mizigo zinafungwa 'Car Trackers' ili kudhibiti mwendo..
 
Tatizo ni hizi mahakama zetu dereva ameua analipishwa faini tu ingetakiwa kifungo miaka 20 tuone kma wataendesha kizembe

Jamani huu Uzi si wa mwaka jana. Mbona mnatutoa roho kwa habari zilizopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…