Moo Click JF-Expert Member Joined Feb 18, 2015 Posts 3,495 Reaction score 3,253 Apr 16, 2015 #61 Daaaaaah...Ni Ajali Teena!!!
N ng'adi lawi JF-Expert Member Joined Sep 27, 2014 Posts 2,956 Reaction score 1,115 Apr 16, 2015 #62 Moo Click said: Daaaaaah...Ni Ajali Teena!!! Click to expand... Pole zao majeruhi. Hiyo ni ajali ya kawaida kwani Dar Express ina madereva wenye nidhamu.
Moo Click said: Daaaaaah...Ni Ajali Teena!!! Click to expand... Pole zao majeruhi. Hiyo ni ajali ya kawaida kwani Dar Express ina madereva wenye nidhamu.
Moo Click JF-Expert Member Joined Feb 18, 2015 Posts 3,495 Reaction score 3,253 Apr 16, 2015 #63 ng'adi lawi said: Pole zao majeruhi. Hiyo ni ajali ya kawaida kwani Dar Express ina madereva wenye nidhamu. Click to expand... Ngoja niungane na wewe...Kuwapa Pole zao Majeruhi...GoodEnough Amna Aliyekufa.
ng'adi lawi said: Pole zao majeruhi. Hiyo ni ajali ya kawaida kwani Dar Express ina madereva wenye nidhamu. Click to expand... Ngoja niungane na wewe...Kuwapa Pole zao Majeruhi...GoodEnough Amna Aliyekufa.
Mungo Park JF-Expert Member Joined Sep 14, 2010 Posts 2,115 Reaction score 1,834 Apr 16, 2015 #64 Huu ni wakati wa Serikali kuhakikisha Gari zote za Abiria na Mizigo zinafungwa 'Car Trackers' ili kudhibiti mwendo..
Huu ni wakati wa Serikali kuhakikisha Gari zote za Abiria na Mizigo zinafungwa 'Car Trackers' ili kudhibiti mwendo..
Ng'wale JF-Expert Member Joined Nov 24, 2011 Posts 4,687 Reaction score 3,406 Apr 16, 2015 #65 van de said: JF piga BURN mleta thread!!!!! haraka. Click to expand... Burn ya nini, yeye aliileta mwaka huo huo 2014 ilipotokea. Angalia mwaka ilipopostiwa.
van de said: JF piga BURN mleta thread!!!!! haraka. Click to expand... Burn ya nini, yeye aliileta mwaka huo huo 2014 ilipotokea. Angalia mwaka ilipopostiwa.
CRICKET JF-Expert Member Joined Oct 17, 2013 Posts 334 Reaction score 84 Apr 16, 2015 #66 We kenge hujui kusoma?
Inanambo JF-Expert Member Joined Jun 26, 2011 Posts 4,063 Reaction score 2,872 Apr 16, 2015 #67 tweenty4seven said: Tatizo ni hizi mahakama zetu dereva ameua analipishwa faini tu ingetakiwa kifungo miaka 20 tuone kma wataendesha kizembe Click to expand... Jamani huu Uzi si wa mwaka jana. Mbona mnatutoa roho kwa habari zilizopita
tweenty4seven said: Tatizo ni hizi mahakama zetu dereva ameua analipishwa faini tu ingetakiwa kifungo miaka 20 tuone kma wataendesha kizembe Click to expand... Jamani huu Uzi si wa mwaka jana. Mbona mnatutoa roho kwa habari zilizopita
Inside10 JF-Expert Member Joined May 20, 2011 Posts 33,785 Reaction score 40,544 Apr 16, 2015 #68 ccm mwaka huu mtafanya kila uchawi.
Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 38,640 Reaction score 49,061 Apr 16, 2015 #69 ng'adi lawi said: Pole zao majeruhi. Hiyo ni ajali ya kawaida kwani Dar Express ina madereva wenye nidhamu. Click to expand... 2014???
ng'adi lawi said: Pole zao majeruhi. Hiyo ni ajali ya kawaida kwani Dar Express ina madereva wenye nidhamu. Click to expand... 2014???
kashesho JF-Expert Member Joined Oct 19, 2012 Posts 4,974 Reaction score 2,492 Apr 16, 2015 #70 duh ajali zitatumaliza