Route ya Moro-Dar-Moro Kuna mabasi ya Kampuni ya abood, Bm, AL saedy, New force
Ukiacha abood, Hao wengine hawaaminiki, wala hawaoni tabu kukuweka stand masaa 2 na bado njiani wakuweke masaa 4
Ndio maana watu wapo radhi wakae kwenye ndoo kwenye abood kuliko kuliko kukalia siti za New force au alsaedy