pole yao sana sana tena sana.
Makamee.Pole hii unaipeleka kwa nani abiria au kwa wenye gari liloungua?
kama ni kwa abiria hakuna alieumia wala kufa.
Mbona hakuna picha ya basi lenyewe ..?
Ndo maana tunapeleka watanzania kule Jkt ili wawe na mioyo ya ujasiri,kwa ajali isiyo na kifo wala majeruhi watu wanatakiwa kokomaa kikamanda tu pole ya nini?
Abiria waliokuwa wanassfiri na basi la 5 Alliance kutoka DSM kwenda Mtwara muda huu wamenusulika kuungua moto ktk basi hilo baada ya wasamalia wema kushirikiana kuuzima moto huo ulioanzia ktk taili la nyuma,
kama ni kwa abiria hakuna alieumia wala kufa.
Mbona hakuna picha ya basi lenyewe ..?
inaonkana hujwahi kupata japo msukosuko wa ajali ww, me nakuombea kwa mungu cku 1 ikukute halafu uone....Haaaa
Haaaaaaa
Haaaaaaaa
Ni kweli lakini Makamee
Nimekupa like,ajali za kipuuzi hizi hazina haja ya pole bhana.
inaonkana hujwahi kupata japo msuko msuko wa ajali ww, me nakuombea kwa mungu cku 1 ikukute halafu uone....
sasa mtu atoa pole ww wasema ni ajali ya kipuuzi, inaonkana hayajakukuta kaka, ila usiombe..Unadhani Mungu anasikiliza maombi ya kipuuzi puuzi kama hili lako..!
Wewe bado unadhani Mungu ni Athuman....!?
sasa mtu atoa pole ww wasema ni ajali ya kipuuzi, inaonkana hayajakukuta kaka, ila usiombe..
Pole hii unaipeleka kwa nani abiria au kwa wenye gari liloungua?
kama ni kwa abiria hakuna alieumia wala kufa.