Bongo hatuna mabasi high class, Moro Arusha kuna BM, LIM, ABOOD yote yako poa. LIM wanasimama sehemu ya kula nzuri kuliko BM.Za saizi wakuu,mwenye kujua basi la abiria linalotoka morogoro kwenda arusha ,pia liwe high class.
BM
Abood Ngara ngara lakini hili