CattleRustler
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 1,055
- 467
Msaada wanao ijua vizuri katiba ya Kenya. Ni sheria gani ya katiba ya kenya ingeweza kumng'oa Bashite kama tungekua na katiba yao?.
asa si ukawaulize wakenya wenyewe?mbona maswali mengine ya kijinga sana?
Ndugu inshu ya Bashite ya kuforge vyeti in kosa la Jinai kulingana na kifungu namba 333,334,335 na 336 cha Penal Code, kifungu namba 337 cha sheria hiyo hiyo kimetoa adhabu kwa mtu atakae fanya hilo kosaKenya ndio nchi ya jirani ninayo fahamu iliyoweza kufanya mabadiliko ya Katiba karibuni. Na matunda yake ni vyonbo vya habari vina uhuru mkubwa sana kulinganisha na Tanzania.
Pili japo nilikua mdogo sana kipindi cha mauaji ya Robert Ouko. Ubabe wa Moi na Biwott uwezilinganisha na Bashite na aliemteua. Ubabe wa Kanu na Moi auwezi kutokea tena Kenya kwasababu katiba yao mpya imepunguza madaraka ya Raisi.
Tatu hata wanao somea sheria za katiba (constitution law) huwa wanazisoma katiba za inchi nyingine. Ndio maana kina Polepole/ Tume ya katiba waliangalia katiba za nchi nyingine kama India walipotengeneza mapemdekezo ya katiba
Kila mtu anajua katiba yetu inampa nguvu nyingi raisi na atuwezi kumshitaki akitoka. Sasa kama katiba ingebadilishwa kama Kenya nakupunguza madaraka ya raisi. Je tungekuwa na njia zipi za kumwajibisha Bashite?
asa si ukawaulize wakenya wenyewe?mbona maswali mengine ya kijinga sana?
sheria hiyo hiyo pia imetoa mwanya kwa mtu binafsi kufungua mashitaka (Private Prosecution).
Ugumu unakuja pale ambapo sheria hiyo hiyo ya mwenendo wa makosa ya jinai kuipa madaraka serikali tena, Director of Public Prosecution(DPP) anauwezo tena wa kuichukua hiyo case kutoka kwa Private Prosecutor na kuamua either kuendesha au kuifutilia mbali bila kutoa sababu za msingi
Sina hakika kama katiba ya warioba ila ngoja ntafatilia kwa sababu ninayo halafu ntakupa mrejeshoRai Pazzy asante kwa elimu hapo juu ila ndio inakatisha tamaa. Nashidwa kuelewa uamuzi wa meya wa kinondoni kupeleka malamiko tume ya maadili ni bora kuliko kufungua mashitaka binafsi. Maana tume ya maadili sindio kinachenge waligoma kwenda na bado bungeni wananguvu.
Pia sijui kama katiba ya warioba ilisema chochote kuhusu uwezo wa DPP kufuta mashitaka ya mtu binafsi
Msaada wanao ijua vizuri katiba ya Kenya. Ni sheria gani ya katiba ya kenya ingeweza kumng'oa Bashite kama tungekua na katiba yao?.
Sasa hii ni kenya hapa au?? ukisikia akili za kitumwa ndio hizi hapa..
Tanzania national examination council ndio wakudhibitisha uhalali wa cheti cha Bashite aka Makonda. TNEC kimya utadhani wamepigwa dozi ya unga.Hapa sio Kenya na upuuzi uliopo kenya hapa Tanzania hauna nafasi
Kwani Kenya wana wakuu wa mikoa
Jinamizi la vyeti feki limemuandama Gavana Joho
Joho's Form Four papers fake— Knec
Hapa sio Kenya na upuuzi uliopo kenya hapa Tanzania hauna nafasi