MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 168
Imeshakuwa kawaida kumshambulia mtu anayekwenda kinyume na utaratibu wetu wa kila siku.
Mikopo isiyokuwa katika mipango waliopinga, mijitu yoote iliwageukia wakasahau umeme unakatika, pembejeo bei juu.
Leo huyu kasema kidogo tu, watu wote midomo juu na kumtaka ajiuzulu, badala ya kujadili hoja zake tunajikita kumshusha.
Inabidi tujitafakari sana.
Huyu Bashiru aachwe ana ujumbe bora wamwite ahojiwe maana yeye ni sehemu ya viongozi walioiweka madarakani serikali ya sasa.
Kumwangamiza haitakuwa sawa.
Mikopo isiyokuwa katika mipango waliopinga, mijitu yoote iliwageukia wakasahau umeme unakatika, pembejeo bei juu.
Leo huyu kasema kidogo tu, watu wote midomo juu na kumtaka ajiuzulu, badala ya kujadili hoja zake tunajikita kumshusha.
Inabidi tujitafakari sana.
Huyu Bashiru aachwe ana ujumbe bora wamwite ahojiwe maana yeye ni sehemu ya viongozi walioiweka madarakani serikali ya sasa.
Kumwangamiza haitakuwa sawa.