Bashe: Mazao ya Mkulima sio mali ya Umma, Waachwe wauze popote

Shida yako moja mara nyingi huwa hujui unachotetea na ata hiyo njia ya shambani huijui.

Watu humu muda wote walikuwa wakikuelezea anaefaidika na hizo bei za reja leo sio mkulima mdogo, isipokuwa wakulima wakubwa wachache wenye maghala na middleman wanao nunua kwa wakulima wadogo baada ya kuvuna kwa bei ndogo.

Kwa ivyo Bashe kusema analinda wakulima ni porojo analinda walanguzi.

Huko kwenye kujustify kwako ongezeko la bei wala sito kuuliza kwa sababu nina uhakika ata uelewa wa hesabu rahisi za ‘cost behaviour’ ambazo zinazingatia gharama zote za kg unit la gunia (fixed overheads, Labour, fixed variables, tozo, transport) nina uhakika bei ya gunia aiwezi fika laki mbili baada ya kulitoa shambani, kulifikisha linapokwenda na gharama zote hizo ukiweka. Sitokwenda huko najua sio uwezo wako.

Huyo Bashe mwenyewe na lopolopo mwenzie Mwigulu kutwa kujisahau na kuji-contradict huo uwongo wenyewe awauwezi (ukiwa muongo usiwe msahaulifu). Sasa ukianza kuzungumzia porojo zao za mambo waliyofanya mwaka huu kumsaidia mkulima, kwa mavuno ya mwaka juzi ndio utapata picha ya kipimo cha ujinga wao.
Acha upuuzi nenda pale Songwe barabara ya Tunduma kuna kijiji kinaitwa Mlowo , biashara ya mahindi inafanyika sana pale ,nenda ujifunze uone soko linaoperate vipi ,utawakuta wafanyabishara wa Tanzania , mpaka wa Sudan ,waCongo , wakenya nk wapo pale na semi trela zao wanapima na kununua mahindi.

Huna unalolijua kwenye biashara ya mazao wewe kiazi ,shut up

Wengi wenu hamjaingia field ,mbaropoka tu humu kama wendawazimu
 
Hakunaga walanguzi. Ni stori tu za wakati wa ujamaa wa Nyerere
Ndio maana nikamwambia huyo pimbi na wenzake wanaompinga Bashe ,waende pale Mlowo na Tunduma Songwe aone biashara ya nafaka hasa maharage ,mchele ,mahindi na kunde na karanga zinavyofanya , na huo ni mfano tu .
Anaweza kwenda hata huko Mpanda nako kinachofanyika ni hicho hicho ,sio kukaa na kubwata bwata kama pimbi na kuongea vitu visivyo na kichwa wala miguu .
Hapo Songwe kuna maeneo kibao huko nafaka zinalimwa kwa jembe la mkono ,aende huko kuna sehemu inaitwa Kamsamba akaone battle la mkulima kulima mahindi na mchele lilivyo mpaka mzigo unapofikishwa kwenye hizo centre za kuchambua , kupimia na kupack hicho chakula halafu arudi tena hapa Jamii forum kuandika huu upuuzi aliyoandika yeye na wenzake ,
Nawashauri watanzania mnapoona mnakula wali ,ugali ,kunde , maharage nk huko mjini na kushibisha hayo mavitambi na mashavu yenu jueni kuna watu wanestruggle vibaya mno kufanikisha hilo na in most cases wanaambulia losses na faida kiduchu mno ,be respectful Kwa mkulima na watu ambao wanahusika kwenye huo mnyororo ,sio kuropoka vitu msivyovijua .
Just shut up .
 
Ndio maana nikamwambia huyo pimbi na wenzake wanaompinga Bashe ,waende pale Mlowo na Tunduma Songwe aone biashara ya nafaka hasa maharage ,mchele ,mahindi na kunde na karanga zinavyofanya , na huo ni mfano tu .
Anaweza kwenda hata huko Mpanda nako kinachofanyika ni hicho hicho ,sio kukaa na kubwata bwata kama pimbi na kuongea vitu visivyo na kichwa wala miguu .
Hapo Songwe kuna maeneo kibao huko nafaka zinalimwa kwa jembe la mkono ,aende huko kuna sehemu inaitwa Kamsamba akaone battle la mkulima kulima mahindi na mchele lilivyo mpaka mzigo unapofikishwa kwenye hizo centre za kuchambua , kupimia na kupack hicho chakula halafu arudi tena hapa Jamii forum kuandika huu upuuzi aliyoandika yeye na wenzake ,
Nawashauri watanzania mnapoona mnakula wali ,ugali ,kunde , maharage nk huko mjini na kushibisha hayo mavitambi na mashavu yenu jueni kuna watu wanestruggle vibaya mno kufanikisha hilo na in most cases wanaambulia losses na faida kiduchu mno ,be respectful Kwa mkulima na watu ambao wanahusika kwenye huo mnyororo ,sio kuropoka vitu msivyovijua .
Just shut up .


Bogus mwingine nani aliesema kilimo ni rahisi vileee au hakina risks? Kwanza hakuna biashara ambayo aina risks so usidhanie ni wakulima wenyewe ndio wanaoweza poteza hela kwenye dunia ya biashara.

Pili soko la jumla unategemea bidhaa lina muuzia nani kama sio mfanyabiashara awe wa kutoka wa ndani au nje nchi.



Issue hapo hao ndio wakulima waliowengi (wadogo) wanaouza kwa stakabadhi ghalani baada ya mavuno, huyu akutani na mfanyabiashara wa kutoka sijui nchi gani kamwe na kama wapo basi wanauza vigunia vyao njiani tena baada ya kukosa wanunuzi wa ndani.

Hao wanauzia serikali au wafanyabiashara wanaopeleka kwenye masoko ya jumla. So sio unakuja hapa kututajia masoko as if hatujui value chini, kisa wewe unashinda maporini (ata sisi huwa tunaenda vijijini na tuna hakina shangazi na wenyewe ni wakulima wadogo) na tunajua maisha yao.

So quit with the nonsense.
 
Mkulima Gani anayenufaika na ongezeko la bei...?! Wakati walanguzi humulangulia mkulima pindi avunapo Kwa bei cheese.....! Aende vijijini akaulize kama kuna mkulima mwenye akiba hata ya debe mbili alizolima yeye.......
Kazipeleka wapi
 
Mkulima Gani anayenufaika na ongezeko la bei...?! Wakati walanguzi humulangulia mkulima pindi avunapo Kwa bei cheese.....! Aende vijijini akaulize kama kuna mkulima mwenye akiba hata ya debe mbili alizolima yeye.......
kashapewa chake ......nasema human dignity first , njaaa inaondoa hilo....aende huko vijijini akajionee hali wananchi ...njaaa inatisha mahindi debe 1 20,000...
 
Bashe hapo tu ndio Huwa nakukubali. Kuzuia mkulima kuuza mazao anavyotaka iliondoa morali ya kilimo kwa watu wengi sana na ndio maana vijana wapo tayari wauze hata pipi mjini kuliko kujishughulisha na kilimo. Pambania hapo kwenye pembejeo tu mh. Bashe. Utaleta mageuzi makubwa kwenye kilimo. Waliomjini wanaosubiria mkulima alime waje wanunue kwa bei wanayotaka wewe waache tu watajifunza
Baada ya kuongea hayo je kuna agizo lolote kwa maDC na maRC wanaopiga marufuku uuzaji wa mazao?
 
Hakuna tatizo na mkulima.

Tatizo linatokana na Serikali yenyewe. Kwa hiyo asilifanye hili kuwa ni jambo jipya.

Serikali haiwezi hata siku moja kujiondoa katika shughuli yoyote inayofanywa na wananchi wake.

Huo ni uongo, ni kutafuta sifa za kijinga.
Wakulima wa korosho, karafuu, pamba, kahawa, nao waachwe wauze popote pale

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 


Bogus mwingine nani aliesema kilimo ni rahisi vileee au hakina risks? Kwanza hakuna biashara ambayo aina risks so usidhanie ni wakulima wenyewe ndio wanaoweza poteza hela kwenye dunia ya biashara.

Pili soko la jumla unategemea bidhaa lina muuzia nani kama sio mfanyabiashara awe wa kutoka wa ndani au nje nchi.



Issue hapo hao ndio wakulima waliowengi (wadogo) wanaouza kwa stakabadhi ghalani baada ya mavuno, huyu akutani na mfanyabiashara wa kutoka sijui nchi gani kamwe na kama wapo basi wanauza vigunia vyao njiani tena baada ya kukosa wanunuzi wa ndani.

Hao wanauzia serikali au wafanyabiashara wanaopeleka kwenye masoko ya jumla. So sio unakuja hapa kututajia masoko as if hatujui value chini, kisa wewe unashinda maporini (ata sisi huwa tunaenda vijijini na tuna hakina shangazi na wenyewe ni wakulima wadogo) na tunajua maisha yao.

So quit with the nonsense.

Bata kama Bata ,here we go
 
Matusi ayafanyi hoja yako iwe na nguvu zaidi ya kuonekana KJ tu.

Kwenye nchi ambayo zaidi ya 70% ni wakulima wadogo basi elewa ata mijini kila mtu ana baba mdogo/mkubwa, babu, bibi, mjomba, shangazi, binamu, shemeji ambao wapo vijijini na wanajishughulisha kilimo.

Sidhani kama kuna ukoo Tanzania ambao auna extended family kijijini, so maisha ya wakulima tunayajua na hizi bei za leo awafaidiki nazo sasa hivi wako busy kupulizia dawa za wadudu mashambani na kupanda kwenye mashamba yao. .
Una mtindio wa ubongo , kwa hiyo unataka bei gani ziwalipe ? , hizo mia mbili mia mbili ndio mnaona ni hela kwa mkulima ? , Hivi ulishalima wewe ? , Narudia ,acha kuropoka usivyovijua
 
Una mtindio wa ubongo , kwa hiyo unataka bei gani ziwalipe ? , hizo mia mbili mia mbili ndio mnaona ni hela kwa mkulima ? , Hivi ulishalima wewe ? , Narudia ,acha kuropoka usivyovijua

Tsh 200 alipwe nani fala wewe?

Hivi unajua ata unachoongea?

Mara ujifanye mkulima

Mara ujifanye unatetea wakulima

What the f*ck how stupid are you.

Be sincere, uongo auna safari ndefu.
 
Acha upuuzi nenda pale Songwe barabara ya Tunduma kuna kijiji kinaitwa Mlowo , biashara ya mahindi inafanyika sana pale ,nenda ujifunze uone soko linaoperate vipi ,utawakuta wafanyabishara wa Tanzania , mpaka wa Sudan ,waCongo , wakenya nk wapo pale na semi trela zao wanapima na kununua mahindi.

Huna unalolijua kwenye biashara ya mazao wewe kiazi ,shut up

Wengi wenu hamjaingia field ,mbaropoka tu humu kama wendawazimu
Huyo Nguruwe pori namuongezea hii hapa kutoka Kwa Chuma Bashe ,hayumbishwi na wapuuzi wachache
 
Wauze popote na sio kuzuia kuuza nchi mazao. Kuuza popote uchochea wengi kulima sababu kilimo kinalipa. Kilimo bila soko ni SAwa na gari bila mafuta.
Msizuie kuuza mazao nje ili ichochee wengi kulima.
 
Hello mabibi na mabwana.

Serikali imesisitiza kwama Mazao ya Wakulima ni Mali Yao na Waachwe Wauze Popote kwenye soko.

Waziri wa Kilimo amesema kulikuwa na dhana kwamba mazao ya Mkulima ni Mali ya Umma na hivyo kumpangia utaratibu wa kuuza mazao yake, utaratibu huo Sasa umekomeshwa maana Kwa mda mrefu umemfanya mkulima kuwa maskini.

Asante sana Waziri Bashe na sie tunaendelea kuwakumbusha wale walalamishi wa bei kupanda kwamba Mvua zinanyesha waende shambani.

Tukutane Sokoni baada ya mavuno,

Kama mnadhani mtaendelea kula jasho letu basi subirini awamu ya mataahira ndio waje wafunge mipaka na walifanya hivyo tutaacha kulima ziada Ili tuone mtakula nini huko Mjini..

Bashe Kanyaga twende tuko pamoja 👇

========

"Tuondokane na dhana ambayo imekuwepo miaka mingi ya kugeuza mazao ya mkulima kuwa mali ya umma, Mazao ya Mkulima ni mali yake ana haki ya kuchagua sehemu ya kuuza na sisi Serikali tutamruhusu mtu yoyote kutoka popote kununua mazao ya kilimo.

Sisi Serikali kama tunayataka tutaenda kuyanunua kwa bei ya soko pia tutachukua hatua kuhakikisha analindwa. Kwa muda mrefu nchi yetu imewafanya wakulima kuwa masikini kwa manufaa binafsi."

Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo akizungumza na wanahabari kuhusu maendeleo ya kilimo, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Hivi Sasa hivi Bashe anajipya Tena? Au ndio maana kapotea mazima?
 
Wauze popote na sio kuzuia kuuza nchi mazao. Kuuza popote uchochea wengi kulima sababu kilimo kinalipa. Kilimo bila soko ni SAwa na gari bila mafuta.
Msizuie kuuza mazao nje ili ichochee wengi kulima.

Mkuu mbona Morogoro ufuta umezuiwa kuvushwa kupelekwa Dar walikopata soko?
 
Back
Top Bottom