The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,437
Hello mabibi na mabwana.
Serikali imesisitiza kwama Mazao ya Wakulima ni Mali Yao na Waachwe Wauze Popote kwenye soko.
Waziri wa Kilimo amesema kulikuwa na dhana kwamba mazao ya Mkulima ni Mali ya Umma na hivyo kumpangia utaratibu wa kuuza mazao yake, utaratibu huo Sasa umekomeshwa maana Kwa mda mrefu umemfanya mkulima kuwa maskini.
Asante sana Waziri Bashe na sie tunaendelea kuwakumbusha wale walalamishi wa bei kupanda kwamba Mvua zinanyesha waende shambani.
Tukutane Sokoni baada ya mavuno,
Kama mnadhani mtaendelea kula jasho letu basi subirini awamu ya mataahira ndio waje wafunge mipaka na walifanya hivyo tutaacha kulima ziada Ili tuone mtakula nini huko Mjini..
Bashe Kanyaga twende tuko pamoja 👇
========
"Tuondokane na dhana ambayo imekuwepo miaka mingi ya kugeuza mazao ya mkulima kuwa mali ya umma, Mazao ya Mkulima ni mali yake ana haki ya kuchagua sehemu ya kuuza na sisi Serikali tutamruhusu mtu yoyote kutoka popote kununua mazao ya kilimo.
Sisi Serikali kama tunayataka tutaenda kuyanunua kwa bei ya soko pia tutachukua hatua kuhakikisha analindwa. Kwa muda mrefu nchi yetu imewafanya wakulima kuwa masikini kwa manufaa binafsi."
Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo akizungumza na wanahabari kuhusu maendeleo ya kilimo, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Serikali imesisitiza kwama Mazao ya Wakulima ni Mali Yao na Waachwe Wauze Popote kwenye soko.
Waziri wa Kilimo amesema kulikuwa na dhana kwamba mazao ya Mkulima ni Mali ya Umma na hivyo kumpangia utaratibu wa kuuza mazao yake, utaratibu huo Sasa umekomeshwa maana Kwa mda mrefu umemfanya mkulima kuwa maskini.
Asante sana Waziri Bashe na sie tunaendelea kuwakumbusha wale walalamishi wa bei kupanda kwamba Mvua zinanyesha waende shambani.
Tukutane Sokoni baada ya mavuno,
Bashe Kanyaga twende tuko pamoja 👇
========
"Tuondokane na dhana ambayo imekuwepo miaka mingi ya kugeuza mazao ya mkulima kuwa mali ya umma, Mazao ya Mkulima ni mali yake ana haki ya kuchagua sehemu ya kuuza na sisi Serikali tutamruhusu mtu yoyote kutoka popote kununua mazao ya kilimo.
Sisi Serikali kama tunayataka tutaenda kuyanunua kwa bei ya soko pia tutachukua hatua kuhakikisha analindwa. Kwa muda mrefu nchi yetu imewafanya wakulima kuwa masikini kwa manufaa binafsi."
Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo akizungumza na wanahabari kuhusu maendeleo ya kilimo, Ikulu jijini Dar es Salaam.