BASATA shughuli zake ni zipi?

BASATA shughuli zake ni zipi?

king muller

Senior Member
Joined
Aug 29, 2015
Posts
104
Reaction score
56
Salam ndugu zangu,

Kuna jambo linanitatiza nikaona hapa naweza pata ufafanuzi. BASATA, hasa shughuli zake ni zipi? Maana nimezoea kuona wakiwafungia tu kazi za wasanii tu.

Anaejua kazi nyingine msaada tafadhali.
 
Kazi yao nyingine ni kuwafungulia wale iliowafungia
 
Msaada wao ni nini kwa wasanii wa Tanzania ??
1.Bongo fleva
2.Muziki wa Dansi (Bendi zinakufa)
3.Taarabu haieleweki (ujumbe shombe tupu)
4.Singeli chali
5.Ngoma za asili kina wanne star kimya



Hawa jamaa haswa kazi zao nini kweli ????
 
Back
Top Bottom