Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,358
Binafsi nakupa pongezi nyingi sana waziri wa elimu "Prof Joyce Ndalichako"kwa kutumbua hili jipu linaloitwa "GPA"
kwakweli hili lilikuwa jipu lisiloiva kwa Walimu,watoto wetu(kizazi kijacho,)na Taifa kwa ujumla sababu mfumo huu haukuwa na uhalisia wa ufaulu kabisaa kwa wanafunzi ukilinganisha na mfumo wa "DIVISION" japo bado kuna kaupungufu kidogo kwenye upangaji wa alama but atleast umeondoa hizo B+ na E ambazo hazikuwa na mantiki yoyote kwenye level hii ya elimu.It was not fair at all.
Hongera sana kwa hilo Mama!! Hapa sasa ndio Elimu ilipo na siyo GPA ambayo ilikuwa ikibeba wanafunzi mwisho wa siku tunazalisha kizazi kisicho na kiwango!! Hongera kwa hilo.
Lakini pamoja na pongezi hizo,ningependa kuongelea kidogo changamoto chache zinazotokana na hii kitu "ELIMU BURE"
Tunamshukuru Mh Rais kwa kuwa amewaondolea mizigo wazazi juu ya swala zima la Michango mashuleni,Lakini kwa upande wa pili kuna changamoto nyingi sana mashuleni mfano ongezeko la idadi ya wanafunzi linalopelekea ukosefu wa vyumba vya kusomea(madarasa),madawati n.k.Changamoto kubwa kuliko yote niliyoiona ni hii ya KUWAONDOA walimu wakujitolea esp.kwa shule za Sekondari kwa kigezo cha kuwa "serikali haina pesa za kuwalipa" Is that true???!! kwa ELIMU?anyway...
Jamani tukumbuke kuwa kuna shule za vijijini ambazo ndiko kwenye uhaba mkubwa wa waalimu ukilinganisha na shule za mijini.Hawa waalimu wa kujitolea wamekuwa msaada mkubwa sana katika hizi shule pamoja na mishahara midogo waliyokuwa wakipata.Madhara yaliyopo sasa ni shule kukosa walimu pamoja na Ukosefu wa ajira kwa hao waalimu ambao wamerudi mtaani pamoja na uwezo wao mzuri wa kufundisha.Kuwa mujibu wa maagizo ni kwamba "somo kama halina mwalimu liachwe wazi lisifundishwe"hakuna fungu la kuwalipa . Tujiulize kwa mtindo huu Tutafika?na vipi sera ya Ajira?hamuoni kama hamjawatendea haki hao waalimu?okey ..!
Ombi langu :Hakikisheni mnatatua changamoto hizi haraka iwezekanavyo kama kuajiri walimu wa kutosha mashuleni,bila kufanya hivyo basi tutegemee ufaulu mdogo sana mwakani(2017)kwa shule za umma kutokana na wingi wa wanafunzi (Both primary and Secondary )
Mbali na hilo Elimu ya shule ya msingi itazamwe upya mfano mitihani ya darasa la saba esp Hisabati,hivi kweli unaweza kumpima mtoto kuhesabu kwa maswali ya kuchagua??!!Why?Then??! No way!
hii siyo sahihi.
Sambamba na hilo watoto wengi nowdays wanaingia kidato cha kwanza hawajui kuandika wala kusoma,unajiuliza mtoto huyu kapitaje darasa la saba?? and what next for this child??!! mmh!!
Tunapoteza maana nzima ya "elimu msingi "na kuharibu kizazi chetu wenyewe !Lipewe mkazo!!!!
kwakweli i have many things to speak out,let me end here!
it's my hope you(mentioned)will workout with.
Sorry for so long article!!
otherwise ,Next time.....!!!!
Munkari (Junior ed. stakeholder)
kwakweli hili lilikuwa jipu lisiloiva kwa Walimu,watoto wetu(kizazi kijacho,)na Taifa kwa ujumla sababu mfumo huu haukuwa na uhalisia wa ufaulu kabisaa kwa wanafunzi ukilinganisha na mfumo wa "DIVISION" japo bado kuna kaupungufu kidogo kwenye upangaji wa alama but atleast umeondoa hizo B+ na E ambazo hazikuwa na mantiki yoyote kwenye level hii ya elimu.It was not fair at all.
Hongera sana kwa hilo Mama!! Hapa sasa ndio Elimu ilipo na siyo GPA ambayo ilikuwa ikibeba wanafunzi mwisho wa siku tunazalisha kizazi kisicho na kiwango!! Hongera kwa hilo.
Lakini pamoja na pongezi hizo,ningependa kuongelea kidogo changamoto chache zinazotokana na hii kitu "ELIMU BURE"
Tunamshukuru Mh Rais kwa kuwa amewaondolea mizigo wazazi juu ya swala zima la Michango mashuleni,Lakini kwa upande wa pili kuna changamoto nyingi sana mashuleni mfano ongezeko la idadi ya wanafunzi linalopelekea ukosefu wa vyumba vya kusomea(madarasa),madawati n.k.Changamoto kubwa kuliko yote niliyoiona ni hii ya KUWAONDOA walimu wakujitolea esp.kwa shule za Sekondari kwa kigezo cha kuwa "serikali haina pesa za kuwalipa" Is that true???!! kwa ELIMU?anyway...
Jamani tukumbuke kuwa kuna shule za vijijini ambazo ndiko kwenye uhaba mkubwa wa waalimu ukilinganisha na shule za mijini.Hawa waalimu wa kujitolea wamekuwa msaada mkubwa sana katika hizi shule pamoja na mishahara midogo waliyokuwa wakipata.Madhara yaliyopo sasa ni shule kukosa walimu pamoja na Ukosefu wa ajira kwa hao waalimu ambao wamerudi mtaani pamoja na uwezo wao mzuri wa kufundisha.Kuwa mujibu wa maagizo ni kwamba "somo kama halina mwalimu liachwe wazi lisifundishwe"hakuna fungu la kuwalipa . Tujiulize kwa mtindo huu Tutafika?na vipi sera ya Ajira?hamuoni kama hamjawatendea haki hao waalimu?okey ..!
Ombi langu :Hakikisheni mnatatua changamoto hizi haraka iwezekanavyo kama kuajiri walimu wa kutosha mashuleni,bila kufanya hivyo basi tutegemee ufaulu mdogo sana mwakani(2017)kwa shule za umma kutokana na wingi wa wanafunzi (Both primary and Secondary )
Mbali na hilo Elimu ya shule ya msingi itazamwe upya mfano mitihani ya darasa la saba esp Hisabati,hivi kweli unaweza kumpima mtoto kuhesabu kwa maswali ya kuchagua??!!Why?Then??! No way!
hii siyo sahihi.
Sambamba na hilo watoto wengi nowdays wanaingia kidato cha kwanza hawajui kuandika wala kusoma,unajiuliza mtoto huyu kapitaje darasa la saba?? and what next for this child??!! mmh!!
Tunapoteza maana nzima ya "elimu msingi "na kuharibu kizazi chetu wenyewe !Lipewe mkazo!!!!
kwakweli i have many things to speak out,let me end here!
it's my hope you(mentioned)will workout with.
Sorry for so long article!!
otherwise ,Next time.....!!!!
Munkari (Junior ed. stakeholder)