Barua ya wazi kwa mkuu wa Mkoa Paul Makonda

boyskillz

Senior Member
Apr 29, 2013
109
104
Kwanza pole na majukumu yako ya kila siku ya kuhakikisha kila siku mkoa wa Dar na Tanzania kwa ujumla tunapiga hatua.

Ninae kuandikia barua hii ni mimi ninaependa kuitwa 'sauti yao' wasioweza kusema nikikuandikia wewe 'mpambanaji wao' wasioweza kupambana.

Awali ya yote...
Nakupongeza toka moyoni kabisa RC wangu Makonda kwa kile ulichoandika mitandaoni kuonesha ni jinsi gani unakerwa na hawa washenzi wanaoitwa 'mashoga'.

Inawezekana umeandika kwa hasira ya hali ya juu machapisho yale,ila mimi nina hasira kubwa zaidi hapo kuliko hata wewe nafikiri, nimefurahi sana kuona umeonesha msimamo wa Serikali kuhusu hili jambo la hawa washenzi.

Narudia tena pongezi sana Mkuu wa mkoa,sasa naomba nione utekelezaji wa hicho ulichokiandika kisiishie tu kwenye mitandao ya kijamii bali kifike kwa vitendo mpaka kitika mamlaka husika.

Natamani kipindi wanapopewa adhabu hawa mashoga wataokamatwa kama hutojali uniite namimi niwape adhabu, wanatuharibia hadhi ya Taifa na Asili yetu watanzania,wanataka kutuweka katika lile kundi la watu wa magharibi polepole.

Nalaani vikali kituo cha Televisheni cha Clouds TV kuwapa 'airtime' baadhi ya watu hao na kuwaacha wajinadi na kuomba ushenzi wao uonekane ni jambo jema, nafikiri Mheshimiwa Nape afungie kituo hiki kama alivyofungia gazeti la Mawio kwa kile kilichoitwa uchochezi na kuwatia hatiani wahusika,

Kituo hiki kimeiaibisha jamii ya kitanzania na hata Rais pia ambae amekuwa mtazamaji mzuri wa kituo hicho mpaka kufikia hatua ya kupiga simu zaidi ya mara moja na kutoa michango yake kulingana na mada (programu) ya siku hio.

Mwisho
Nakuomba RC Makonda usifumbie macho hata kidogo ushenzi huu,hio hasira yako uliyoionesha kwa maandishi tunakuomba uioneshe kwa vitendo pia, na pia naomuomba Waziri Nape achukue hatua stahiki kwa vyombo vya habari vinavyotudhalilisha jamii yetu.

RC hili sio la kufumbia macho ikibidi uanze na yule wanamuita Noel ambaye anahisiwa anajihusisha na uchafu huo (bado sijapata ushahidi wa kuniridhisha) ambaye naona picha yako na yeye imeanza kusambazwa mitandaoni kama kipimo cha msimamo wako dhidi ya washenzi hawa(kama ni kweli)

Kwa hili nitakuunga mkono Mkuu wa Mkoa Paul Makonda,namuomba Allah akujaalie utumikie kazi yake ya kukomesha uchafu huo.
Asante.

Ndimi katika ujenzi wa Taifa huru na imara
#Hon Eng Enock Ally
 
Kweli bongo kuna obsession ya ushoga.

Mnatumia nguvu nyingi kupambana na mambo yasiyo ya msingi na maamuzi ya watu binafsi huku mambo ya msingi mnaacha kama hamuyaoni. Mitanganyika bana
 
Anapamba kwa nguvu kwa vitu ambavyo vingeweza kuishia ngazi za Serikali za Mitaa kama kuna watu hao eneo hilo nirahisi kutambulika na ku deal nao ISSUE kubwa Mkuu wa Mkoa ni Dawa za KULEVYA angejitahi kupambana nayo kwa nguvu zote hayo mengine yanatokana sana na matumizi ua dawa hizo
 
BARUA YA WAZI KWA MKUU WA MKOA PAUL MAKONDA

Kwanza pole na majukumu yako ya kila siku ya kuhakikisha kila siku mkoa wa Dar na Tanzania kwa ujumla tunapiga hatua.

Ninae kuandikia barua hii ni mimi ninaependa kuitwa 'sauti yao' wasioweza kusema nikikuandikia wewe 'mpambanaji wao' wasioweza kupambana.

Awali ya yote...
Nakupongeza toka moyoni kabisa RC wangu Makonda kwa kile ulichoandika mitandaoni kuonesha ni jinsi gani unakerwa na hawa washenzi wanaoitwa 'mashoga'.

Inawezekana umeandika kwa hasira ya hali ya juu machapisho yale,ila mimi nina hasira kubwa zaidi hapo kuliko hata wewe nafikiri, nimefurahi sana kuona umeonesha msimamo wa Serikali kuhusu hili jambo la hawa washenzi.

Narudia tena pongezi sana Mkuu wa mkoa,sasa naomba nione utekelezaji wa hicho ulichokiandika kisiishie tu kwenye mitandao ya kijamii bali kifike kwa vitendo mpaka kitika mamlaka husika.

Natamani kipindi wanapopewa adhabu hawa mashoga wataokamatwa kama hutojali uniite namimi niwape adhabu, wanatuharibia hadhi ya Taifa na Asili yetu watanzania,wanataka kutuweka katika lile kundi la watu wa magharibi polepole.

Nalaani vikali kituo cha Televisheni cha Clouds TV kuwapa 'airtime' baadhi ya watu hao na kuwaacha wajinadi na kuomba ushenzi wao uonekane ni jambo jema, nafikiri Mheshimiwa Nape afungie kituo hiki kama alivyofungia gazeti la Mawio kwa kile kilichoitwa uchochezi na kuwatia hatiani wahusika,

Kituo hiki kimeiaibisha jamii ya kitanzania na hata Rais pia ambae amekuwa mtazamaji mzuri wa kituo hicho mpaka kufikia hatua ya kupiga simu zaidi ya mara moja na kutoa michango yake kulingana na mada (programu) ya siku hio.

Mwisho
Nakuomba RC Makonda usifumbie macho hata kidogo ushenzi huu,hio hasira yako uliyoionesha kwa maandishi tunakuomba uioneshe kwa vitendo pia, na pia naomuomba Waziri Nape achukue hatua stahiki kwa vyombo vya habari vinavyotudhalilisha jamii yetu.

RC hili sio la kufumbia macho ikibidi uanze na yule wanamuita Noel ambaye anahisiwa anajihusisha na uchafu huo (bado sijapata ushahidi wa kuniridhisha) ambaye naona picha yako na yeye imeanza kusambazwa mitandaoni kama kipimo cha msimamo wako dhidi ya washenzi hawa(kama ni kweli)

Kwa hili nitakuunga mkono Mkuu wa Mkoa Paul Makonda,namuomba Allah akujaalie utumikie kazi yake ya kukomesha uchafu huo.
Asante.

Ndimi katika ujenzi wa Taifa huru na imara
#Hon Eng Enock Ally
 
kama walimu kupanda daladala bure,machangudoa kuundoka mitaani,PF 3 kutolewa hospitali badala ya Polis yotei yameshindikana bila shaka na hili litagonga mwamba. Tatizo la Makonda maamuzi yake si shirikishi,yeye kila akiamka anatoa maagizo bila kwanza kukaa na wadau na kupanga jinsi ya kutekeleza.
 
BARUA YA WAZI KWA MKUU WA MKOA PAUL MAKONDA

Kwanza pole na majukumu yako ya kila siku ya kuhakikisha kila siku mkoa wa Dar na Tanzania kwa ujumla tunapiga hatua.

Ninae kuandikia barua hii ni mimi ninaependa kuitwa 'sauti yao' wasioweza kusema nikikuandikia wewe 'mpambanaji wao' wasioweza kupambana.

Awali ya yote...
Nakupongeza toka moyoni kabisa RC wangu Makonda kwa kile ulichoandika mitandaoni kuonesha ni jinsi gani unakerwa na hawa washenzi wanaoitwa 'mashoga'.

Inawezekana umeandika kwa hasira ya hali ya juu machapisho yale,ila mimi nina hasira kubwa zaidi hapo kuliko hata wewe nafikiri, nimefurahi sana kuona umeonesha msimamo wa Serikali kuhusu hili jambo la hawa washenzi.

Narudia tena pongezi sana Mkuu wa mkoa,sasa naomba nione utekelezaji wa hicho ulichokiandika kisiishie tu kwenye mitandao ya kijamii bali kifike kwa vitendo mpaka kitika mamlaka husika.

Natamani kipindi wanapopewa adhabu hawa mashoga wataokamatwa kama hutojali uniite namimi niwape adhabu, wanatuharibia hadhi ya Taifa na Asili yetu watanzania,wanataka kutuweka katika lile kundi la watu wa magharibi polepole.

Nalaani vikali kituo cha Televisheni cha Clouds TV kuwapa 'airtime' baadhi ya watu hao na kuwaacha wajinadi na kuomba ushenzi wao uonekane ni jambo jema, nafikiri Mheshimiwa Nape afungie kituo hiki kama alivyofungia gazeti la Mawio kwa kile kilichoitwa uchochezi na kuwatia hatiani wahusika,

Kituo hiki kimeiaibisha jamii ya kitanzania na hata Rais pia ambae amekuwa mtazamaji mzuri wa kituo hicho mpaka kufikia hatua ya kupiga simu zaidi ya mara moja na kutoa michango yake kulingana na mada (programu) ya siku hio.

Mwisho
Nakuomba RC Makonda usifumbie macho hata kidogo ushenzi huu,hio hasira yako uliyoionesha kwa maandishi tunakuomba uioneshe kwa vitendo pia, na pia naomuomba Waziri Nape achukue hatua stahiki kwa vyombo vya habari vinavyotudhalilisha jamii yetu.

RC hili sio la kufumbia macho ikibidi uanze na yule wanamuita Noel ambaye anahisiwa anajihusisha na uchafu huo (bado sijapata ushahidi wa kuniridhisha) ambaye naona picha yako na yeye imeanza kusambazwa mitandaoni kama kipimo cha msimamo wako dhidi ya washenzi hawa(kama ni kweli)

Kwa hili nitakuunga mkono Mkuu wa Mkoa Paul Makonda,namuomba Allah akujaalie utumikie kazi yake ya kukomesha uchafu huo.
Asante.

Ndimi katika ujenzi wa Taifa huru na imara
#Hon Eng Enock Ally
 
Haya yote yamezaliwa na kituo kile cha mawingu,basi nao bila kujali nani anapenda kukiangalia ni kweli kifungiwe ili tusione kama mawio wanaonewa,maana na hawa ni "WACHOCHEZI"kwa vijana wetu kuacha asili yao na kuwa wamagharibi,kiyu ambacho hata mungu amekilaani na akaonyesha hasira kwa vitendo kule SODOMA.
 
"Ambaye anajijua hana dhambi awe wa kwanza kurusha jiwe."

Na kama aliyeandika hyo barua ni engineer basi sishangai kwanini magorofa yanayojengwa hayana ubora kama akili zenyewe ndo hizoooo....

Siasa za uongozi huu zitaligawanya taifa nusu kwa nusu.

Time is the best teacher of all, lets see and wait.

Meanwhile wacha movie iendeleee......
 
BARUA YA WAZI KWA MKUU WA MKOA PAUL MAKONDA

Kwanza pole na majukumu yako ya kila siku ya kuhakikisha kila siku mkoa wa Dar na Tanzania kwa ujumla tunapiga hatua.

Ninae kuandikia barua hii ni mimi ninaependa kuitwa 'sauti yao' wasioweza kusema nikikuandikia wewe 'mpambanaji wao' wasioweza kupambana.

Awali ya yote...
Nakupongeza toka moyoni kabisa RC wangu Makonda kwa kile ulichoandika mitandaoni kuonesha ni jinsi gani unakerwa na hawa washenzi wanaoitwa 'mashoga'.

Inawezekana umeandika kwa hasira ya hali ya juu machapisho yale,ila mimi nina hasira kubwa zaidi hapo kuliko hata wewe nafikiri, nimefurahi sana kuona umeonesha msimamo wa Serikali kuhusu hili jambo la hawa washenzi.

Narudia tena pongezi sana Mkuu wa mkoa,sasa naomba nione utekelezaji wa hicho ulichokiandika kisiishie tu kwenye mitandao ya kijamii bali kifike kwa vitendo mpaka kitika mamlaka husika.

Natamani kipindi wanapopewa adhabu hawa mashoga wataokamatwa kama hutojali uniite namimi niwape adhabu, wanatuharibia hadhi ya Taifa na Asili yetu watanzania,wanataka kutuweka katika lile kundi la watu wa magharibi polepole.

Nalaani vikali kituo cha Televisheni cha Clouds TV kuwapa 'airtime' baadhi ya watu hao na kuwaacha wajinadi na kuomba ushenzi wao uonekane ni jambo jema, nafikiri Mheshimiwa Nape afungie kituo hiki kama alivyofungia gazeti la Mawio kwa kile kilichoitwa uchochezi na kuwatia hatiani wahusika,

Kituo hiki kimeiaibisha jamii ya kitanzania na hata Rais pia ambae amekuwa mtazamaji mzuri wa kituo hicho mpaka kufikia hatua ya kupiga simu zaidi ya mara moja na kutoa michango yake kulingana na mada (programu) ya siku hio.

Mwisho
Nakuomba RC Makonda usifumbie macho hata kidogo ushenzi huu,hio hasira yako uliyoionesha kwa maandishi tunakuomba uioneshe kwa vitendo pia, na pia naomuomba Waziri Nape achukue hatua stahiki kwa vyombo vya habari vinavyotudhalilisha jamii yetu.

RC hili sio la kufumbia macho ikibidi uanze na yule wanamuita Noel ambaye anahisiwa anajihusisha na uchafu huo (bado sijapata ushahidi wa kuniridhisha) ambaye naona picha yako na yeye imeanza kusambazwa mitandaoni kama kipimo cha msimamo wako dhidi ya washenzi hawa(kama ni kweli)

Kwa hili nitakuunga mkono Mkuu wa Mkoa Paul Makonda,namuomba Allah akujaalie utumikie kazi yake ya kukomesha uchafu huo.
Asante.

Ndimi katika ujenzi wa Taifa huru na imara
#Hon Eng Enock Ally
Good support to authority's to act
 
Kuna wakati nafikiri Shetani asili yake ni Mzungu maana mambo yote ya kishetani yanaanzia kwao, halafu waafrika wanashawishiwa au wakati mwingine kulazimishwa kufanya kama wao.
 
Kuna mambo mengi sana ya kuyashughulikia haya hayana tija kwa taifa!! Maji shida kwanza huku mitaani hali ya maisha bado ni shida!

Ushoga huwezi kumalizwa kwa maneno walio nyuma ya mashoga na wanao support ushoga wanatumia hela nyingi sana kutimiza azma yao mim binafsi sioni anacho kifanya Bw Paul Makonda!
 
Haya yote yamezaliwa na kituo kile cha mawingu,basi nao bila kujali nani anapenda kukiangalia ni kweli kifungiwe ili tusione kama mawio wanaonewa,maana na hawa ni "WACHOCHEZI"kwa vijana wetu kuacha asili yao na kuwa wamagharibi,kiyu ambacho hata mungu amekilaani na akaonyesha hasira kwa vitendo kule SODOMA.
Mashog TV.
 
Back
Top Bottom