Barua ya wazi kwa mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Joseph Pombe Magufuli

Gamba la Nyoka

JF-Expert Member
May 1, 2007
7,022
9,285
Kwako mheshimiwa Rais

YAH : OMBI LA NAMNA YA KUWASHUGHULIKIA WENYE VYETI FEKI

Shikamoo mheshimiwa Rais, Nianze kwa kukupongeza na kukushukuru kwa kazi nzito sana ya kuipa uongozi nchi yetu. Ninatambua kuwa kazi yako ni ngumu sana na ina lawama nyingi, hata hivyo kama Wahenga walivyosema kwamba chuma cha pua hakiwi chuma cha pua mpaka kipitie katika tanuri la moto basi na mimi ninatambua pasi na chembe ya shaka kwamba juhudi zako na hatua unazochokua ni tanuri ambalo ni kwa nia njema kabisa ya kunyoosha mambo ili baadae tuvune matunda ya Taifa lililonyooka, siyo Taifa la kuishi kiujanja ujanja tu.

Mheshimiwa, Wahenga pia walisema kuwa Kabla ya Pasaka hutanguliwa na Ijumaa kuu, kwa hiyo basi naamini hatua unazochukua leo za kutaka mambo yaliyonyooka zitalisaidia Taifa kwa miaka mingi ijayo.

Mheshimiwa Rais, Nakupongeza kwa dhati kabisa Operesheni ya kutafuta vyeti feki, Mheshimiwa operesheni hii imetuma meseji kali sana kwa watu wote waliofanya udanganyifu wa kitaaluma au waliokuwa wakifikiri kufanya udanganyifu wa kitaaluma, hili Zoezi japo ni chungu na linaumiza lakini LINALIPONYA TAIFA DHIDI YA UDANGANYIFU WA KIELIMU.

Hili ni jambo zuri sana.
Mheshimiwa Rais, tukiacha udanganyifu wa kielimu ambalo ni kosa la Jinai lakini pia tukija katika sheria za Utumishi ni kosa kwa mwajiriwa kupeleka taarifa za Uongo juu yake kwa Mwajiri, Kiufupi Kama wenye vyeti feki watashitakiwa mahakamani wanaweza kupata kifungo cha miaka mingi jela na pia pengine kutakiwa kuilipa serikali pesa nyingi sana kwa kuwa waliingia katika mkataba wa utumishi kwa taarifa za uongo.

Hata hivyo nikushukuru wewe mheshimiwa Raisi kwa huruma uliyowaonesha watumishi hawa, kwa kutoamua kuwashitaki na badala yake ukawataka wajiondoe wenyewe tu, kusema kweli mtu ambaye anajiongeza na alifoji vyeti basi bila shaka ataitikia wito wako mara moja.

Mheshimiwa Rais mimi nilikuwa nina ombi moja tu kwako kuhusu Watumishi hawa waliogundulika kuwa ni wenye vyeti feki na kama utaliona linafaa basi nitakuwa ni mwenye kushukuru kweli kama utalichukua. MHESHIMIWA NAOMBA HAWA WENYE VYETI FEKI WAPEWE MUDA WARISITI AU WARUDI DARASANI WASOME QT ILI WAPATE VYETI HALALI VYA KIDATO CHA NNE AU CHA SITA, wakifanikiwa kupata credit basi vyeti vyao vitambulike kuwa ni halali, Na hapo sasa Mafao yao walipwe, na Wale waliokuwa Kazini warudi.

Lakini pia baada ya kusafisha vyeti vyao vya kidato cha nne au cha sita basi kwa wale waliokwisha kupata digrii vyeti vyao vya elimu ya juu viwe ni halali!. Kwa wale watakaokaidi kurudi darasani kusoma basi rungu lilelile la kuachishwa kazi liwaangukie!!

Mheshimiwa Naomba hili kwa Watumishi walioguswa na Zoezi hili tu la Uhakiki, na si watumishi Watakaoingia katika Utumishi wa Umma baadae!.

Mheshimiwa Raisi nimeomba hivi nikitambua hali ya maisha ya watakaostaafu huenda ikawa ngumu, na pia nikitambua miongoni mwao huenda walikupigia kura.

Mheshimiwa naomba Ulifikirie ombi langu.

Wako katika Ujenzi wa Taifa.
Raia wa Tanzania.
 
wewe kama ni cheti feki rudi shule ukimaliza ukapata cheti halali rudi uombe tena kazi, kuna vijana kibao mtaani wanazunguka na vyeti kumbe kina bashite mmejazana maofisini!
 
Kwako mheshimiwa Rais

YAH : OMBI LA NAMNA YA KUWASHUGHULIKIA WENYE VYETI FEKI

Shikamoo mheshimiwa Rais, Nianze kwa kukupongeza na kukushukuru kwa kazi nzito sana ya kuipa uongozi nchi yetu. Ninatambua kuwa kazi yako ni ngumu sana na ina lawama nyingi, hata hivyo kama Wahenga walivyosema kwamba chuma cha pua hakiwi chuma cha pua mpaka kipitie katika tanuri la moto basi na mimi ninatambua pasi na chembe ya shaka kwamba juhudi zako na hatua unazochokua ni tanuri ambalo ni kwa nia njema kabisa ya kunyoosha mambo ili baadae tuvune matunda ya Taifa lililonyooka, siyo Taifa la kuishi kiujanja ujanja tu.
Mheshimiwa, Wahenga pia walisema kuwa Kabla ya Pasaka hutanguliwa na Ijumaa kuu, kwa hiyo basi naamini hatua unazochukua leo za kutaka mambo yaliyonyooka zitalisaidia Taifa kwa miaka mingi ijayo.
Mheshimiwa Rais, Nakupongeza kwa dhati kabisa Operesheni ya kutafuta vyeti feki, Mheshimiwa operesheni hii imetuma meseji kali sana kwa watu wote waliofanya udanganyifu wa kitaaluma au waliokuwa wakifikiri kufanya udanganyifu wa kitaaluma, hili Zoezi japo ni chungu na linaumiza lakini LINALIPONYA TAIFA DHIDI YA UDANGANYIFU WA KIELIMU. Hili ni jambo zuri sana.
Mheshimiwa Rais, tukiacha udanganyifu wa kielimu ambalo ni kosa la Jinai lakini pia tukija katika sheria za Utumishi ni kosa kwa mwajiriwa kupeleka taarifa za Uongo juu yake kwa Mwajiri, Kiufupi Kama wenye vyeti feki watashitakiwa mahakamani wanaweza kupata kifungo cha miaka mingi jela na pia pengine kutakiwa kuilipa serikali pesa nyingi sana kwa kuwa waliingia katika mkataba wa utumishi kwa taarifa za uongo. Hata hivyo nikushukuru wewe mheshimiwa Raisi kwa huruma uliyowaonesha watumishi hawa, kwa kutoamua kuwashitaki na badala yake ukawataka wajiondoe wenyewe tu, kusema kweli mtu ambaye anajiongeza na alifoji vyeti basi bila shaka ataitikia wito wako mara moja.
Mheshimiwa Rais mimi nilikuwa nina ombi moja tu kwako kuhusu Watumishi hawa waliogundulika kuwa ni wenye vyeti feki na kama utaliona linafaa basi nitakuwa ni mwenye kushukuru kweli kama utalichukua. MHESHIMIWA NAOMBA HAWA WENYE VYETI FEKI WAPEWE MUDA WARISITI AU WARUDI DARASANI WASOME QT ILI WAPATE VYETI HALALI VYA KIDATO CHA NNE AU CHA SITA, wakifanikiwa kupata credit basi vyeti vyao vitambulike kuwa ni halali, Na hapo sasa Mafao yao walipwe, na Wale waliokuwa Kazini warudi.

Lakini pia baada ya kusafisha vyeti vyao vya kidato cha nne au cha sita basi kwa wale waliokwisha kupata digrii vyeti vyao vya elimu ya juu viwe ni halali!. Kwa wale watakaokaidi kurudi darasani kusoma basi rungu lilelile la kuachishwa kazi liwaangukie!!

Mheshimiwa Naomba hili kwa Watumishi walioguswa na Zoezi hili tu la Uhakiki, na si watumishi Watakaoingia katika Utumishi wa Umma baadae!.

Mheshimiwa Raisi nimeomba hivi nikitambua hali ya maisha ya watakaostaafu huenda ikawa ngumu, na pia nikitambua miongoni mwao huenda walikupigia kura.

Mheshimiwa naomba Ulifikirie ombi langu.


Wako katika Ujenzi wa Taifa.
Raia wa Tanzania.
Mkuu Barua hii ilibidi aipate mkononi mwake fanya jitihada naamini rais wetu hana moyo wa Chuma huenda akakubali baadhi ya maombi yako!!!
 
Hivi barua kwenda kwa rais kupitia jamiiforums huwa zinamfikia mh rais?
 
Tunampongeza mh rais kwa juhudi na hatua anazochukua katika kuijenga Tanzania mpya
 
Kwako mheshimiwa Rais

YAH : OMBI LA NAMNA YA KUWASHUGHULIKIA WENYE VYETI FEKI

Shikamoo mheshimiwa Rais, Nianze kwa kukupongeza na kukushukuru kwa kazi nzito sana ya kuipa uongozi nchi yetu. Ninatambua kuwa kazi yako ni ngumu sana na ina lawama nyingi, hata hivyo kama Wahenga walivyosema kwamba chuma cha pua hakiwi chuma cha pua mpaka kipitie katika tanuri la moto basi na mimi ninatambua pasi na chembe ya shaka kwamba juhudi zako na hatua unazochokua ni tanuri ambalo ni kwa nia njema kabisa ya kunyoosha mambo ili baadae tuvune matunda ya Taifa lililonyooka, siyo Taifa la kuishi kiujanja ujanja tu.
Mheshimiwa, Wahenga pia walisema kuwa Kabla ya Pasaka hutanguliwa na Ijumaa kuu, kwa hiyo basi naamini hatua unazochukua leo za kutaka mambo yaliyonyooka zitalisaidia Taifa kwa miaka mingi ijayo.
Mheshimiwa Rais, Nakupongeza kwa dhati kabisa Operesheni ya kutafuta vyeti feki, Mheshimiwa operesheni hii imetuma meseji kali sana kwa watu wote waliofanya udanganyifu wa kitaaluma au waliokuwa wakifikiri kufanya udanganyifu wa kitaaluma, hili Zoezi japo ni chungu na linaumiza lakini LINALIPONYA TAIFA DHIDI YA UDANGANYIFU WA KIELIMU. Hili ni jambo zuri sana.
Mheshimiwa Rais, tukiacha udanganyifu wa kielimu ambalo ni kosa la Jinai lakini pia tukija katika sheria za Utumishi ni kosa kwa mwajiriwa kupeleka taarifa za Uongo juu yake kwa Mwajiri, Kiufupi Kama wenye vyeti feki watashitakiwa mahakamani wanaweza kupata kifungo cha miaka mingi jela na pia pengine kutakiwa kuilipa serikali pesa nyingi sana kwa kuwa waliingia katika mkataba wa utumishi kwa taarifa za uongo. Hata hivyo nikushukuru wewe mheshimiwa Raisi kwa huruma uliyowaonesha watumishi hawa, kwa kutoamua kuwashitaki na badala yake ukawataka wajiondoe wenyewe tu, kusema kweli mtu ambaye anajiongeza na alifoji vyeti basi bila shaka ataitikia wito wako mara moja.
Mheshimiwa Rais mimi nilikuwa nina ombi moja tu kwako kuhusu Watumishi hawa waliogundulika kuwa ni wenye vyeti feki na kama utaliona linafaa basi nitakuwa ni mwenye kushukuru kweli kama utalichukua. MHESHIMIWA NAOMBA HAWA WENYE VYETI FEKI WAPEWE MUDA WARISITI AU WARUDI DARASANI WASOME QT ILI WAPATE VYETI HALALI VYA KIDATO CHA NNE AU CHA SITA, wakifanikiwa kupata credit basi vyeti vyao vitambulike kuwa ni halali, Na hapo sasa Mafao yao walipwe, na Wale waliokuwa Kazini warudi.

Lakini pia baada ya kusafisha vyeti vyao vya kidato cha nne au cha sita basi kwa wale waliokwisha kupata digrii vyeti vyao vya elimu ya juu viwe ni halali!. Kwa wale watakaokaidi kurudi darasani kusoma basi rungu lilelile la kuachishwa kazi liwaangukie!!

Mheshimiwa Naomba hili kwa Watumishi walioguswa na Zoezi hili tu la Uhakiki, na si watumishi Watakaoingia katika Utumishi wa Umma baadae!.

Mheshimiwa Raisi nimeomba hivi nikitambua hali ya maisha ya watakaostaafu huenda ikawa ngumu, na pia nikitambua miongoni mwao huenda walikupigia kura.

Mheshimiwa naomba Ulifikirie ombi langu.


Wako katika Ujenzi wa Taifa.
Raia wa Tanzania.



Mheshimiwa Raisi nimeomba hivi nikitambua hali ya maisha ya watakaostaafu huenda ikawa ngumu, na pia nikitambua miongoni mwao huenda walikupigia kura - HUU NDO UJINGA WA WATANZANIA, SABABU WALIMPIGIA KURA?
 
Bora ungeomba wapewe mafao yao kuliko hilo ombi...wakati wakiwa wanasoma nani atafanya kazi zao? Hivi kwani tuliobaki na vyeti vyetu vya viwango duni tulikuwa wapumbavu? Mh. Rais anataka kujenga tabia ya uaminifu kwa watumishi...Kama mtu unaweza forge cheti huoni huyo mtu anaweza hata kuingia mikataba fake ili tu apate faida binafsi?

Uamainifu na uadilifu ni tabia inayojengwa mtu ambaye hana hizo traits hawezi badilika pasipo incentives kama hizi...Nakumbuka shule niliyosoma mm A level walikuwa wezi wa mitihani na facilitator walikiwa baadhi ya wazazi wenye nafasi...Kwakua nilifundishwa kwa ukali mno kutofanya vitu vya ku iba na ku forge pamoja na kuona wenzangu wana mitihani sikuwahi kuchungulia hata kukaribia karibu na hiyo mitihani
Wengi wa hao walifaulu kunizidi kwa mbali mno pamoja na kuwa kiuwezo walikuwa wanachechemea darasani. Pamoja na ufaulu huo leo hii wengi unawakuta wamehusika kwenye scandal nyingine mno za kifisadi, kumbe katabia walikapata au walirithishwa na wazazi wao hasa apale walipoona inalipa kuiba mitihani.

Hii adhabu inajenga tabia njema na itaonekana risk ni kubwa kufanya forgery. Tuwaonee huruma lakini tukumbuke toba ya kweli inaambatana na malipizi. Hayo ndiyo malipizi ya dhambi za kukosa uaminifu.
 
Magufuli anapata kibuli kwa sababu uongozi wa TISS wa sasa umefitinika hivi hawajitambui au waelewi wanavuruga nchi na kuirarua vipande vipande wao wanacheka cheka tu kwa sababu wanapora mapesa ya hazina wakijidai ni ya ulinzi
 
Mheshimiwa Raisi nimeomba hivi nikitambua hali ya maisha ya watakaostaafu huenda ikawa ngumu, na pia nikitambua miongoni mwao huenda walikupigia kura - HUU NDO UJINGA WA WATANZANIA, SABABU WALIMPIGIA KURA?

Huo siyo ujinga ni upumbavu uliokithiri kwa hiyo mtu ukimpa lift ana haki ya kufaya lolote kisa tu alikupa lift ndg yangu tuna lalamika kila siku nchi inakwenda hovyo kaja mganga anatoa tiba eti watu wanalalamika tena TUMUUNGE MKONO ATOE DOZI YA UHAKIKA
 
Kwako mheshimiwa Rais

YAH : OMBI LA NAMNA YA KUWASHUGHULIKIA WENYE VYETI FEKI

Shikamoo mheshimiwa Rais, Nianze kwa kukupongeza na kukushukuru kwa kazi nzito sana ya kuipa uongozi nchi yetu. Ninatambua kuwa kazi yako ni ngumu sana na ina lawama nyingi, hata hivyo kama Wahenga walivyosema kwamba chuma cha pua hakiwi chuma cha pua mpaka kipitie katika tanuri la moto basi na mimi ninatambua pasi na chembe ya shaka kwamba juhudi zako na hatua unazochokua ni tanuri ambalo ni kwa nia njema kabisa ya kunyoosha mambo ili baadae tuvune matunda ya Taifa lililonyooka, siyo Taifa la kuishi kiujanja ujanja tu.

Mheshimiwa, Wahenga pia walisema kuwa Kabla ya Pasaka hutanguliwa na Ijumaa kuu, kwa hiyo basi naamini hatua unazochukua leo za kutaka mambo yaliyonyooka zitalisaidia Taifa kwa miaka mingi ijayo.

Mheshimiwa Rais, Nakupongeza kwa dhati kabisa Operesheni ya kutafuta vyeti feki, Mheshimiwa operesheni hii imetuma meseji kali sana kwa watu wote waliofanya udanganyifu wa kitaaluma au waliokuwa wakifikiri kufanya udanganyifu wa kitaaluma, hili Zoezi japo ni chungu na linaumiza lakini LINALIPONYA TAIFA DHIDI YA UDANGANYIFU WA KIELIMU.

Hili ni jambo zuri sana.
Mheshimiwa Rais, tukiacha udanganyifu wa kielimu ambalo ni kosa la Jinai lakini pia tukija katika sheria za Utumishi ni kosa kwa mwajiriwa kupeleka taarifa za Uongo juu yake kwa Mwajiri, Kiufupi Kama wenye vyeti feki watashitakiwa mahakamani wanaweza kupata kifungo cha miaka mingi jela na pia pengine kutakiwa kuilipa serikali pesa nyingi sana kwa kuwa waliingia katika mkataba wa utumishi kwa taarifa za uongo.

Hata hivyo nikushukuru wewe mheshimiwa Raisi kwa huruma uliyowaonesha watumishi hawa, kwa kutoamua kuwashitaki na badala yake ukawataka wajiondoe wenyewe tu, kusema kweli mtu ambaye anajiongeza na alifoji vyeti basi bila shaka ataitikia wito wako mara moja.

Mheshimiwa Rais mimi nilikuwa nina ombi moja tu kwako kuhusu Watumishi hawa waliogundulika kuwa ni wenye vyeti feki na kama utaliona linafaa basi nitakuwa ni mwenye kushukuru kweli kama utalichukua. MHESHIMIWA NAOMBA HAWA WENYE VYETI FEKI WAPEWE MUDA WARISITI AU WARUDI DARASANI WASOME QT ILI WAPATE VYETI HALALI VYA KIDATO CHA NNE AU CHA SITA, wakifanikiwa kupata credit basi vyeti vyao vitambulike kuwa ni halali, Na hapo sasa Mafao yao walipwe, na Wale waliokuwa Kazini warudi.

Lakini pia baada ya kusafisha vyeti vyao vya kidato cha nne au cha sita basi kwa wale waliokwisha kupata digrii vyeti vyao vya elimu ya juu viwe ni halali!. Kwa wale watakaokaidi kurudi darasani kusoma basi rungu lilelile la kuachishwa kazi liwaangukie!!

Mheshimiwa Naomba hili kwa Watumishi walioguswa na Zoezi hili tu la Uhakiki, na si watumishi Watakaoingia katika Utumishi wa Umma baadae!.

Mheshimiwa Raisi nimeomba hivi nikitambua hali ya maisha ya watakaostaafu huenda ikawa ngumu, na pia nikitambua miongoni mwao huenda walikupigia kura.

Mheshimiwa naomba Ulifikirie ombi langu.

Wako katika Ujenzi wa Taifa.
Raia wa Tanzania.
USHAURI HUU NI WAKU HALALISHA MAOUVU NA KUYAPAMBA.
UTARATIBU WA KURUDIA MASOMO ULIKUWEPO MUDA MREFU TUU
HAWA WAMEFANYA KUSUDI KABISA WANA STAHILI KUNYONGWA AU KUPIGWA RISASI.
USHAURI HUU NI WA KIJINGA KABISA
 
Kwako mheshimiwa Rais

YAH : OMBI LA NAMNA YA KUWASHUGHULIKIA WENYE VYETI FEKI

Shikamoo mheshimiwa Rais, Nianze kwa kukupongeza na kukushukuru kwa kazi nzito sana ya kuipa uongozi nchi yetu. Ninatambua kuwa kazi yako ni ngumu sana na ina lawama nyingi, hata hivyo kama Wahenga walivyosema kwamba chuma cha pua hakiwi chuma cha pua mpaka kipitie katika tanuri la moto basi na mimi ninatambua pasi na chembe ya shaka kwamba juhudi zako na hatua unazochokua ni tanuri ambalo ni kwa nia njema kabisa ya kunyoosha mambo ili baadae tuvune matunda ya Taifa lililonyooka, siyo Taifa la kuishi kiujanja ujanja tu.

Mheshimiwa, Wahenga pia walisema kuwa Kabla ya Pasaka hutanguliwa na Ijumaa kuu, kwa hiyo basi naamini hatua unazochukua leo za kutaka mambo yaliyonyooka zitalisaidia Taifa kwa miaka mingi ijayo.

Mheshimiwa Rais, Nakupongeza kwa dhati kabisa Operesheni ya kutafuta vyeti feki, Mheshimiwa operesheni hii imetuma meseji kali sana kwa watu wote waliofanya udanganyifu wa kitaaluma au waliokuwa wakifikiri kufanya udanganyifu wa kitaaluma, hili Zoezi japo ni chungu na linaumiza lakini LINALIPONYA TAIFA DHIDI YA UDANGANYIFU WA KIELIMU.

Hili ni jambo zuri sana.
Mheshimiwa Rais, tukiacha udanganyifu wa kielimu ambalo ni kosa la Jinai lakini pia tukija katika sheria za Utumishi ni kosa kwa mwajiriwa kupeleka taarifa za Uongo juu yake kwa Mwajiri, Kiufupi Kama wenye vyeti feki watashitakiwa mahakamani wanaweza kupata kifungo cha miaka mingi jela na pia pengine kutakiwa kuilipa serikali pesa nyingi sana kwa kuwa waliingia katika mkataba wa utumishi kwa taarifa za uongo.

Hata hivyo nikushukuru wewe mheshimiwa Raisi kwa huruma uliyowaonesha watumishi hawa, kwa kutoamua kuwashitaki na badala yake ukawataka wajiondoe wenyewe tu, kusema kweli mtu ambaye anajiongeza na alifoji vyeti basi bila shaka ataitikia wito wako mara moja.

Mheshimiwa Rais mimi nilikuwa nina ombi moja tu kwako kuhusu Watumishi hawa waliogundulika kuwa ni wenye vyeti feki na kama utaliona linafaa basi nitakuwa ni mwenye kushukuru kweli kama utalichukua. MHESHIMIWA NAOMBA HAWA WENYE VYETI FEKI WAPEWE MUDA WARISITI AU WARUDI DARASANI WASOME QT ILI WAPATE VYETI HALALI VYA KIDATO CHA NNE AU CHA SITA, wakifanikiwa kupata credit basi vyeti vyao vitambulike kuwa ni halali, Na hapo sasa Mafao yao walipwe, na Wale waliokuwa Kazini warudi.

Lakini pia baada ya kusafisha vyeti vyao vya kidato cha nne au cha sita basi kwa wale waliokwisha kupata digrii vyeti vyao vya elimu ya juu viwe ni halali!. Kwa wale watakaokaidi kurudi darasani kusoma basi rungu lilelile la kuachishwa kazi liwaangukie!!

Mheshimiwa Naomba hili kwa Watumishi walioguswa na Zoezi hili tu la Uhakiki, na si watumishi Watakaoingia katika Utumishi wa Umma baadae!.

Mheshimiwa Raisi nimeomba hivi nikitambua hali ya maisha ya watakaostaafu huenda ikawa ngumu, na pia nikitambua miongoni mwao huenda walikupigia kura.

Mheshimiwa naomba Ulifikirie ombi langu.

Wako katika Ujenzi wa Taifa.
Raia wa Tanzania.
WEWE NI RAIS WA WAFOJI VYETI?
 
Ukiona gari inayumba, basi hakikisha unawagonga wachache ili wengi wapone. Hawa wanastahili jela, kuachiwa huru bila kushtakiwa ni fadhila kubwa mno RAIS kaonyesha ingawa wanasiasa wanapondea ili tu wakubalike na jamii. Nchi za kisovieti kwa kosa hili lazima utumikie kifungo cha maisha au kunyongwa.
Tabia chafu sana hii ya udanganyifu.
 
Kuna haja gani ya kumbembeleza mhalifu ilhali kuna vijana wenye vyeti halali na WAZURI kitaaluma tena wengi kuliko hao wahalifu? Uzoefu wataupata tu, maana hata hao wenye vyeti feki wasingekaa milele pamoja na uzoefu wao. Hapa suala ni kuna wahalifu wamefoji vyeti, halina mjadala kwanza wamehurumiwa sana kuambiwa waondoke bila hatua zozote. WATOKE haki ichukue mkondo wake.
 
Kwako mheshimiwa Rais

YAH : OMBI LA NAMNA YA KUWASHUGHULIKIA WENYE VYETI FEKI

Shikamoo mheshimiwa Rais, Nianze kwa kukupongeza na kukushukuru kwa kazi nzito sana ya kuipa uongozi nchi yetu. Ninatambua kuwa kazi yako ni ngumu sana na ina lawama nyingi, hata hivyo kama Wahenga walivyosema kwamba chuma cha pua hakiwi chuma cha pua mpaka kipitie katika tanuri la moto basi na mimi ninatambua pasi na chembe ya shaka kwamba juhudi zako na hatua unazochokua ni tanuri ambalo ni kwa nia njema kabisa ya kunyoosha mambo ili baadae tuvune matunda ya Taifa lililonyooka, siyo Taifa la kuishi kiujanja ujanja tu.

Mheshimiwa, Wahenga pia walisema kuwa Kabla ya Pasaka hutanguliwa na Ijumaa kuu, kwa hiyo basi naamini hatua unazochukua leo za kutaka mambo yaliyonyooka zitalisaidia Taifa kwa miaka mingi ijayo.

Mheshimiwa Rais, Nakupongeza kwa dhati kabisa Operesheni ya kutafuta vyeti feki, Mheshimiwa operesheni hii imetuma meseji kali sana kwa watu wote waliofanya udanganyifu wa kitaaluma au waliokuwa wakifikiri kufanya udanganyifu wa kitaaluma, hili Zoezi japo ni chungu na linaumiza lakini LINALIPONYA TAIFA DHIDI YA UDANGANYIFU WA KIELIMU.

Hili ni jambo zuri sana.
Mheshimiwa Rais, tukiacha udanganyifu wa kielimu ambalo ni kosa la Jinai lakini pia tukija katika sheria za Utumishi ni kosa kwa mwajiriwa kupeleka taarifa za Uongo juu yake kwa Mwajiri, Kiufupi Kama wenye vyeti feki watashitakiwa mahakamani wanaweza kupata kifungo cha miaka mingi jela na pia pengine kutakiwa kuilipa serikali pesa nyingi sana kwa kuwa waliingia katika mkataba wa utumishi kwa taarifa za uongo.

Hata hivyo nikushukuru wewe mheshimiwa Raisi kwa huruma uliyowaonesha watumishi hawa, kwa kutoamua kuwashitaki na badala yake ukawataka wajiondoe wenyewe tu, kusema kweli mtu ambaye anajiongeza na alifoji vyeti basi bila shaka ataitikia wito wako mara moja.

Mheshimiwa Rais mimi nilikuwa nina ombi moja tu kwako kuhusu Watumishi hawa waliogundulika kuwa ni wenye vyeti feki na kama utaliona linafaa basi nitakuwa ni mwenye kushukuru kweli kama utalichukua. MHESHIMIWA NAOMBA HAWA WENYE VYETI FEKI WAPEWE MUDA WARISITI AU WARUDI DARASANI WASOME QT ILI WAPATE VYETI HALALI VYA KIDATO CHA NNE AU CHA SITA, wakifanikiwa kupata credit basi vyeti vyao vitambulike kuwa ni halali, Na hapo sasa Mafao yao walipwe, na Wale waliokuwa Kazini warudi.

Lakini pia baada ya kusafisha vyeti vyao vya kidato cha nne au cha sita basi kwa wale waliokwisha kupata digrii vyeti vyao vya elimu ya juu viwe ni halali!. Kwa wale watakaokaidi kurudi darasani kusoma basi rungu lilelile la kuachishwa kazi liwaangukie!!

Mheshimiwa Naomba hili kwa Watumishi walioguswa na Zoezi hili tu la Uhakiki, na si watumishi Watakaoingia katika Utumishi wa Umma baadae!.

Mheshimiwa Raisi nimeomba hivi nikitambua hali ya maisha ya watakaostaafu huenda ikawa ngumu, na pia nikitambua miongoni mwao huenda walikupigia kura.

Mheshimiwa naomba Ulifikirie ombi langu.

Wako katika Ujenzi wa Taifa.
Raia wa Tanzania.

Mkuu, hongera kwa ushauri huu! Una wazo kama langu. Nilikuwa nawaza hivyo hivyo kwa kurejea pia kwa wale waliokuwa wanakwepa au hawakupata fursa ya kupita jeshini (JKT) enzi za Mwalimu Nyerere. Walisakwa maofisini na walipopatikana wakapangiwa kambi za kwenda kufanya mafunzo ya JKT (wengine wakiwa na vitambi vyao) na walipomaliza waliendelea na ajira zao. Hii ingeweza kufanyika pia kwa watu wenye 'vyeti feki' au wanaodhaniwa kuwa na vyeti feki. Badala ya kurudishwa mtaani na kuwa mzigo (pengine kwa kukosa ajira), wangesaidiwa (wale wanaoweza kusoma) wasome na kisha waendelee na ajira zao. Huu ungekuwa mkakati mmojawapo wa kupunguza ukosefu wa ajira zinazotegemea elimu ya/kisomo cha mtu.

Lengo ni 1) kuzuia watu wasifanye udanganyifu wa vyeti 2) watu kujua kwamba hata kama watafoji wakigundulika watarudishwa shuleni. Hivyo, kuliko kuja kurudi shuleni huko mbeleni mtu ataamua mwenyewe kufuata utaratibu uliopo wa kusoma na kujiendeleza hadi kupata qualifications zinazostahili kwa kazi husika. Serikali imefanya hivi kwa waandishi wa habari wasio na sifa, lakini wameajiriwa (kutokana huenda na uwezo wao na kwamba hapo awali halikuwa sharti kwamba ili kuwa mwandishi wa habari ni sharti uwe umesomea uandishi wa habari - maana uandishi wa habari traditionally ni "cosmopolitan profession" - kwa maana kwamba hata mtu ambaye hajasomea uandishi wa habari, lakini ana uwezo wa (1) kutafuta (2) kupata (3) kuchakata na kuiwasilisha habari kwa mujibu wa kanuni za uandishi wa habari, anaweza kuajiriwa kama mwandishi wa habari: hii ndivyo ilivyokuwa).

Lakini serikali imeamua kuweka sharti la ili mtu awe mwandishi wa habari ni lazima awe amesomea na kuhitimu uandishi wa habari na pia awe amesajiriwa kama mwandishi wa habari. Huu ndio utaratibu wa sasa na wale ambao, kutokana na utaratibu wa zamani wana sifa hizo, lakini kutokana na utaratibu wa sasa hawana sifa za kuwa waandishi wa habari, wamepewa muda wa miaka mitano wawe wameshasomea uandishi wa habari na kusajiriwa kama waandishi wa habari kama wanataka kufanya kazi kama waandishi wa habari nchini. Na hapa ndipo pia hoja yangu inaposimama. Kuliko kuunda kundi la watu wasio na sifa mtaani, serikali ingewasaidia/ingewapa fursa watumishi wa umma waliokumbwa na tatizo hili wajiendeleze, na kama mkuu unavyoshauri, watakapohitimu kwa kiwango kama vyeti vyao vinavyoonyesha, basi serikali ivitambue au iwape vyeti vingine kama ikiona inafaa kufanya hivyo. Kwa maoni yangu, hii ingekuwa "forward looking strategy".
 
Kwako mheshimiwa Rais

YAH : OMBI LA NAMNA YA KUWASHUGHULIKIA WENYE VYETI FEKI

Shikamoo mheshimiwa Rais, Nianze kwa kukupongeza na kukushukuru kwa kazi nzito sana ya kuipa uongozi nchi yetu. Ninatambua kuwa kazi yako ni ngumu sana na ina lawama nyingi, hata hivyo kama Wahenga walivyosema kwamba chuma cha pua hakiwi chuma cha pua mpaka kipitie katika tanuri la moto basi na mimi ninatambua pasi na chembe ya shaka kwamba juhudi zako na hatua unazochokua ni tanuri ambalo ni kwa nia njema kabisa ya kunyoosha mambo ili baadae tuvune matunda ya Taifa lililonyooka, siyo Taifa la kuishi kiujanja ujanja tu.

Mheshimiwa, Wahenga pia walisema kuwa Kabla ya Pasaka hutanguliwa na Ijumaa kuu, kwa hiyo basi naamini hatua unazochukua leo za kutaka mambo yaliyonyooka zitalisaidia Taifa kwa miaka mingi ijayo.

Mheshimiwa Rais, Nakupongeza kwa dhati kabisa Operesheni ya kutafuta vyeti feki, Mheshimiwa operesheni hii imetuma meseji kali sana kwa watu wote waliofanya udanganyifu wa kitaaluma au waliokuwa wakifikiri kufanya udanganyifu wa kitaaluma, hili Zoezi japo ni chungu na linaumiza lakini LINALIPONYA TAIFA DHIDI YA UDANGANYIFU WA KIELIMU.

Hili ni jambo zuri sana.
Mheshimiwa Rais, tukiacha udanganyifu wa kielimu ambalo ni kosa la Jinai lakini pia tukija katika sheria za Utumishi ni kosa kwa mwajiriwa kupeleka taarifa za Uongo juu yake kwa Mwajiri, Kiufupi Kama wenye vyeti feki watashitakiwa mahakamani wanaweza kupata kifungo cha miaka mingi jela na pia pengine kutakiwa kuilipa serikali pesa nyingi sana kwa kuwa waliingia katika mkataba wa utumishi kwa taarifa za uongo.

Hata hivyo nikushukuru wewe mheshimiwa Raisi kwa huruma uliyowaonesha watumishi hawa, kwa kutoamua kuwashitaki na badala yake ukawataka wajiondoe wenyewe tu, kusema kweli mtu ambaye anajiongeza na alifoji vyeti basi bila shaka ataitikia wito wako mara moja.

Mheshimiwa Rais mimi nilikuwa nina ombi moja tu kwako kuhusu Watumishi hawa waliogundulika kuwa ni wenye vyeti feki na kama utaliona linafaa basi nitakuwa ni mwenye kushukuru kweli kama utalichukua. MHESHIMIWA NAOMBA HAWA WENYE VYETI FEKI WAPEWE MUDA WARISITI AU WARUDI DARASANI WASOME QT ILI WAPATE VYETI HALALI VYA KIDATO CHA NNE AU CHA SITA, wakifanikiwa kupata credit basi vyeti vyao vitambulike kuwa ni halali, Na hapo sasa Mafao yao walipwe, na Wale waliokuwa Kazini warudi.

Lakini pia baada ya kusafisha vyeti vyao vya kidato cha nne au cha sita basi kwa wale waliokwisha kupata digrii vyeti vyao vya elimu ya juu viwe ni halali!. Kwa wale watakaokaidi kurudi darasani kusoma basi rungu lilelile la kuachishwa kazi liwaangukie!!

Mheshimiwa Naomba hili kwa Watumishi walioguswa na Zoezi hili tu la Uhakiki, na si watumishi Watakaoingia katika Utumishi wa Umma baadae!.

Mheshimiwa Raisi nimeomba hivi nikitambua hali ya maisha ya watakaostaafu huenda ikawa ngumu, na pia nikitambua miongoni mwao huenda walikupigia kura.

Mheshimiwa naomba Ulifikirie ombi langu.

Wako katika Ujenzi wa Taifa.
Raia wa Tanzania.
Pole kwa kutumia muda wako mwingi kuandika barua kwa rais ni wazo zuri lakin wazo la kumpeleka mzee mwnye miaka yake 50-59 shule tna secondari ni wazo gumu kwa maana hadi kufkia ktmia cheti cha mtu t means alifeli shule tena akiwa kijana iweje afaulu kipndi hki akiwa mzee????
 
Back
Top Bottom