BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,335
- 1,386
watu wana pesaDuuuh niatari kabisa... Dola Million
watu wana pesa
Geneus wengi huwa hawakubaliani na dini, kwa sababu wanauwezo sawa na walionzisha dini.Mambo ambayo ndugu Kiranga anapenda kusikia.
Ndani ya barua hiyo kuna maneno haya " The word God is for me nothing more than the expression and product of human weakness, the Bible a collection of honorable, but still purely primitive, legends which are nevertheless pretty childish "
Hili jamaa ni lifreemason lililokubuhu nalichukiaga sana ndio hawahawa akina britanicca wa JFMambo ambayo ndugu Kiranga anapenda kusikia.
Ndani ya barua hiyo kuna maneno haya " The word God is for me nothing more than the expression and product of human weakness, the Bible a collection of honorable, but still purely primitive, legends which are nevertheless pretty childish "
Hahaha masuala ya dini haya ni ya kuletwa na wazunguHili jamaa ni lifreemason lililokubuhu nalichukiaga sana ndio hawahawa akina britanicca wa JF