Kijana una moyo wa chuma, inaonekana unampenda sana huyo mwanamke, ila angalia asije akakuliza maana kama anachati na mwanaume mwingine usalama hapo ni kidogo.
Apo huyo mwanamke anaweza akatamani ardhi ipasuke, ukiona mwanaume anakua kama ivyo ujue amepitia mengi sana so lolote halimuumizi, so apo mwanamke lazima atakua muoga kwa huo ujumbe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.