bizzle for shizzle
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,010
- 736
Mkuu maneno makali hayo..... Angalieni jamani mdomo uliponza kichwa msishindane na serikali..... Msimdhihaki raisi chonde chonde mkuu tunapenda kuwaona humu jf mkichangia mada kwa weredi. Asante mkuuMkuu ungeorodhesha hayo maendeleo au jitihada za maendeleo. Mimi naona karibu atafuzu kutoka kuwa dikteta uchwara na kuwa dikteta kamili.