Barua kwa Azam TV

Barua kwa Azam TV

Papaa Azonto

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2013
Posts
319
Reaction score
277
Wasalamu

Kwanza napenda kukupa hongera kwa kutanua wigo wa ajira Tanzania kupitia uwekezajj wako.

Ila, kuna hili swala la Azam Pay Tv, Namna ya kununua au kulipia kifurushi Mara baada ya kuisha mda wake kupitia mitandao ya simu au njia yinginezo.

Hapa nataka kuzungumzia kupitia mitandao ya simu, kwa kweli mnaboa sijui kwa wengine, ila kwangu naona ni usumbufu, kununua kifurushi cha Azam Play kisha kupiga huduma kwa wateja kuniunganisha, kwanini mteja asiunge moja kwa moja kuondoa huu usumbufu, na bado namba yenu c free call, mnachaji? Hamjui kuwa huu ni wizi wa nje kabsa? Na bado MTU akipiga simu kuunganishwa, badala aunganishwa na kifurushi cha Azam play, anaungwa Azam pure au plus, eb niambien tofauti iliyopo Kati ya Azam play na plus, nimeunga toka Jana, napiga simu naambiwa subiri baada ya dakika kumi, nimesubiri, lakini Chanel sizion, zipo zile zile za zamani.

Kwa ushauri wangu, wekeni chaguzi Kama zilivyokatika mitandao ya simu, ambavyo kuna options za MTU kuunga kifurushi ima cha au zaidi kulingana na mahitaji yake.
Mfano
A) Azam pay TV.
1. Azam pure
2.Azam plus
3.Azam play.
Kisha MTU achague yeye mwenyewe kuliko kupiga huduma ya wateja na bado mtu anachajiwa tena simu yenyewe kupokelewa ni baada ya dk 10 , sasa hii hela mnatupa ninyi?? Kama sio wizi nini? Sawa hata Kama mnachaji basi simu ipokelewe kwa mda.
Mpaka sasa, sijaona hizo chaneli za Azam play, zaidi ya zile za zamani.

Namshukuru mmenipa somo kubwa, kuhusu Azam play. Soon nitaunga DST TV Kama zamani, Nina hasira Sana na hao huduma ya wateja, natamani ningewafata hapo mlipo niwaeleze huu usumbufu na wizi wenu wa kutunyima fursa ya kupiga simu kwani mnatuchaji na sisi hatuna hela, wewe mkuu wa huduma ya wateja, badilika, angalia huduma zenu bana,

Moderator naomba huu uzi husiutoe, nataka uwafikie wahusika, sina namna ya kuwafikishia zaidi ya hapa.

Wasalamu
 
Hongera mkuu kwa ujumbe wako utawakilisha na sisi ambao tumekuwa tukiugulia maumivu kimya kimya na nina imani mkuu wa idara kama atapitia hapa ataupata huu ujumbe muruwa.
 
Safi washaanza kuboa.pia hawana professionals kwa Huduma ya Wateja.moja ya mtu wa hivi ni know ur product sasa wanachokiongea wanajua wenyewe
 
Me mpaka nilienda kwa wakala ndo nikapewa kifurushi changu halali
 
Kuna dada mmoja anapokea simu pale huduma kwa wateja ana lugha chafu,utadhani yeye ni mke wa bakhresa,
nilimkumbuka jina lake ntamrusha hewani ili ajirekebishe.
In reality azam mnazingua sana kwa sasa,nami naanza kufikiria kuhama sasa.
 
Wasalamu

Kwanza napenda kukupa hongera kwa kutanua wigo wa ajira Tanzania kupitia uwekezajj wako.

Ila, kuna hili swala la Azam Pay Tv, Namna ya kununua au kulipia kifurushi Mara baada ya kuisha mda wake kupitia mitandao ga simu au njia yinginezo.

Hapa nataka kuzungumzia kupitia mitandao ya simu, kwa kweli mnaboa sijui kwa wengine, ila kwangu naona ni usumbufu, kununua kifurushi cha Azam Play kisha kupiga huduma kwa wateja kuniunganisha, kwanini mteja asiunge moja kwa moja kuondoa huu usumbufu, na bado namba yenu c free call, mnachaji? Hamjui kuwa huu ni wizi wa nje kabsa? Na bado MTU akipiga simu kuunganishwa, badala aunganishwa na kifurushi cha Azam play, anaungwa Azam pure au plus, eb niambien tofauti iliyopo Kati ya Azam play na plus, nimeunga toka Jana, napiga simu naambiwa subiri baada ya dakika kumi, nimesubiri, lakini Chanel sizion, zipo zile zile za zamani.

Kwa ushauri wangu, wekeni chaguzi Kama zilivyokatika mitandao ya simu, ambavyo kuna options za MTU kuunga kifurushi ima cha au zaidi kulingana na mahitaji yake.
Mfano
A) Azam pay TV.
1. Azam pure
2.Azam plus
3.Azam play.
Kisha MTU achague yeye mwenyewe kuliko kupiga huduma ya wateja na bado mtu anachajiwa tena simu yenyewe kupokelewa ni baada ya dk 10 , sasa hii hela mnatupa ninyi?? Kama sio wizi nini? Sawa hata Kama mnachaji basi simu ipokelewe kwa mda.
Mpaka sasa, sijaona hizo chaneli za Azam play, zaidi ya zile za zamani.

Namshukuru mmenipa somo kubwa, kuhusu Azam play. Soon nitaunga DST TV Kama zamani, Nina hasira Sana na hao huduma ya wateja, natamani ningewafata hapo mlipo niwaeleze huu usumbufu na wizi wenu wa kutunyima fursa ya kupiga simu kwani mnatuchaji na sisi hatuna hela, wewe mkuu wa huduma ya wateja, badilika, angalia huduma zenu bana,

Moderator naomba huu uzi husiutoe, nataka uwafikie wahusika, sina namna ya kuwafikishia zaidi ya hapa.

Wasalamu
ccc charles hilary, mzee mhando na pk kahemele
 
hapa ndipo wa china wanapotushinda kwa umakini na usasa ukiangalia kama [star times] ukilipia kupitia cm ya mkononi haipiti hata dk 3 wamesha kuunganisha hewani;

uzuri wao hawa bagui hata ukiweka buku1 wanakufungulia tofauti na vingamuzi vingine walivyo walafi wao wanataka pesa kamili,hapa ndipo ninapo wapendea wachina,

hata ukitaka kuama kifurushi ni simple sana sasa hapa makampuni mengine yanatakiwa ya jitathimini jinsi ya kutoa huduma wa waige basi [star times] jinsi wanavyotoa huduma hata kwa mtanzania mwenye uwezo wa kuweka 1ooo​ wanampa huduma,
 
Mimi nimelipia kifurushi cha 15,000/- azam plus kupitia M-pesa ambapo ni channel 50, kama matangazo yao yanavyojinadi lakini nashangaa , wamenifungulia channel za kenya, citizen, k24 , ktn na baadhi za uganda channel zingine hazijafunguka naombeni msaada nipo kimara temboni mwenye namba ya agent wa hapa anisaidie.
 
kwa upande wangu chanel zinazonifanya nilipie king'amuzi cha azamtv ni azam one, azamtwo na sinema zetu. hivyo silipii kamwe zaidi ya sh.10000 labda waweke chanel angalau moja inayoonesha ligi ya England....
chaneli zingine nazipata bureeeee..
 
Mbaya zaidi,ukitaka kubadilisha Bundle system zao hazikubali.
Kama za star time,wao lazima usubiri hadi mwezi uishe.
 
Nilijua tu. Mpishi wa maandazi kuanzisha pay TV itaishia majanga tu. Nunueni TV zenye digital decoders mjiepushe na hawa vendors uchwara
 
Azam tv nimelipia 30000 mbona mbc sipati haraka funhueni hizi channel
 
Nilijua tu. Mpishi wa maandazi kuanzisha pay TV itaishia majanga tu. Nunueni TV zenye digital decoders mjiepushe na hawa vendors uchwara



unaposema tv zenye digital decoder zinafanyaje kazi naomba ufafanuzi
 
hapa ndipo wa china wanapotushinda kwa umakini na usasa ukiangalia kama [star times] ukilipia kupitia cm ya mkononi haipiti hata dk 3 wamesha kuunganisha hewani;

uzuri wao hawa bagui hata ukiweka buku1 wanakufungulia tofauti na vingamuzi vingine walivyo walafi wao wanataka pesa kamili,hapa ndipo ninapo wapendea wachina,

hata ukitaka kuama kifurushi ni simple sana sasa hapa makampuni mengine yanatakiwa ya jitathimini jinsi ya kutoa huduma wa waige basi [star times] jinsi wanavyotoa huduma hata kwa mtanzania mwenye uwezo wa kuweka 1ooo&[HASHTAG]#8203[/HASHTAG]; wanampa huduma,
hivi ni kweli ukiweka hata buku wanakufungulia?
 
Back
Top Bottom