Ngoja nimpigie simu jamaa yangu wa pale BRITISH COUNCIL nimuulizie ADA ya kusoma GENERAL ENGLISH ni kiasi gan, den nitarudi kukujulisha.
Haahaahaaaaa! WA KISHUA bana.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ngoja nimpigie simu jamaa yangu wa pale BRITISH COUNCIL nimuulizie ADA ya kusoma GENERAL ENGLISH ni kiasi gan, den nitarudi kukujulisha.
si haba lakini ngoja nikutafutie wifi yao Natalia akusaidie
Ndugu wadau wapendwa, katika tafuta yangu nimemkwa huyu demu wa kidhungu lakini sasa kimekua kizunguzungu kwangu kwakua english yenyewe ni ndogo na hii ni barua ya 5 izo za nyuma nilijitahidi ivoivo kujibu, sijui ananichokesha tuu au ana willing? Ameshanitumia mpk picha zake nyingi tuu, najua humu jf mun
Hizo 4 za mwanzo ulijibu nini?