Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,403
- 1,241
Sina data nzuri na kuhusiana na wadhamini wa michezo hapa Tanzania, ila najua wimbi la udhamini limeongezeka kwa kasi katika nyanja mbalimbali za michezo hapa nchini. Kama habari ifuatayo inavyosema:
Maswali ninayojiuliza sasa hivi ni kuwa:
--Je, Barrick walikuwa wanadhamini michezo siku kitambo zilizopita?!
--Kama walishawahi, je ni michezo ipi au timu zipi hizo?
--Kama walishawahi, je walijitangaza kama hivi sasa?
--Kama hawajawahi, je ni kipi kimewapelekea kuanza kudhamini timu nyakati hizi?
--Kama hawajawahi/walishawahi, je hili ni jambo la maana wao kufanya kwenye nyakati kama hizi ambapo wanasakamwa kutokana na utata wa Buzwagi?
--Je, wadhaminiwa wanajisikiaje kuhusu kukumbatiwa na washutumiwa?
WanaJF, naomba msaada wenu kwenye maswali haya. Ahsanteni.
SteveD.
Source link: ThisDay.NATIONAL BASKETBALL TOURNEY: Barrick Gold injects 50m/-
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
BARRICK Gold Tanzania will sponsor this years national basketball championship to be held in the city later this month.
Tanzania Basketball Federation (TBF) president Richard Kasesela told reporters in the city yesterday the sponsorship amounts to 50m/-.
I hereby announce that Barrick Gold Tanzania are the main sponsors of the national basketball championship, Kasesela said.
Kasesela said the sponsorship package includes production costs for team kits, headbands, wristbands, medals, trophies and branding.
In addition, Barrick will also cover costs for radio advertisements, flyers, posters, t-shirts and caps for fans, he said.
He said part of the sponsorship package gives the main sponsor rights to brand the event and display its logo, which carries the tournaments new name � Barrick Gold Cup.
Kasesela also unveiled a new TBF logo, which will feature in all events sanctioned by the federation and will be the key in promoting basketball across the country.
Speaking at the same occasion, Barrick public relations manager Teweli Teweli said Barrick felt it was essential to support a tournament that consistently brings together teams from all over the country.
We commend the organizations and individuals who have dedicated so much effort towards promoting basketball and were proud to be associated with them, he said.
We look forward to joining forces in promoting the sport across Tanzania, he added.
The Barrick Gold Cup will be held at the National Indoor Stadium from October 21-28. Games will start at 8.00am and run to 8.00pm.
Tanzania Breweries Limited (TBL) has also injected 15m/- in the championship.
Maswali ninayojiuliza sasa hivi ni kuwa:
--Je, Barrick walikuwa wanadhamini michezo siku kitambo zilizopita?!
--Kama walishawahi, je ni michezo ipi au timu zipi hizo?
--Kama walishawahi, je walijitangaza kama hivi sasa?
--Kama hawajawahi, je ni kipi kimewapelekea kuanza kudhamini timu nyakati hizi?
--Kama hawajawahi/walishawahi, je hili ni jambo la maana wao kufanya kwenye nyakati kama hizi ambapo wanasakamwa kutokana na utata wa Buzwagi?
--Je, wadhaminiwa wanajisikiaje kuhusu kukumbatiwa na washutumiwa?
WanaJF, naomba msaada wenu kwenye maswali haya. Ahsanteni.
SteveD.